sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,504
- 41,743
We unaushahidi wa mafanikio??Una ushahidi au mikwara tu
We unaushahidi wa mafanikio??Una ushahidi au mikwara tu
wizi mtupuNo gain without pain. Yaani ununue saa kwa milioni tano then wakupe saa plus 10 million? Akili gani hizi?
Qnet ni biashara ya mtandao, hiyo ml5 ya saa ndio mtaji wako, ukishajiunga unawaunga na watu wawili wengine alafu unapata dollar 200 kwa kila mtu unayemuungaSaa inauzwa Mil 5..?
Na hiyo Qnet inahisika na nini hasa
utata unakuja jinsi ya kuwashawishi hao watu pia kwanini ni waongo hawasrmi ukweki wanakudanganya ukiingia ndio unajua yoteQnet ni biashara ya mtandao, hiyo ml5 ya saa ndio mtaji wako, ukishajiunga unawaunga na watu wawili wengine alafu unapata dollar 200 kwa kila mtu unayemuunga
utata unakuja jinsi ya kuwashawishi hao watu pia kwanini ni waongo hawasrmi ukweki wanakudanganya ukiingia ndio unajua yote
bora uwe mtumwa ila mle unakua kichaa alafu kwanini vingi ni vyanafunzi tena vya chuo ??unakua mtumwa wa kuwatafuta watu uwaunganishe na wewe urudishe pesa yako kuna classmate wangu kakamatika huko huko hadi anatoroka kazini kwenda Qnet yeye kapigwa M3.8
Kweli kabisa, wanajua wakisema ukweli watakukosa na biashara yao itafeli. Ila wanaushawishi wa hatari aisee, mie walining'ang'ani kwa miezi mi3 mpaka wakaamua kuniacha tuutata unakuja jinsi ya kuwashawishi hao watu pia kwanini ni waongo hawasrmi ukweki wanakudanganya ukiingia ndio unajua yote
wakishakupiga semina zao zile mbili lazima wakulazimishe maana wanajua umefahamu 75% ya mambo yao ila ki ukweli ni waongo wana maisha ya kimovie tu ukiaa nao utaona wanaanza kujipisha story ooh kuna dokta ameacha kaona aimlipi kaja qnet amelalamika saana kwamba amechelewa mara kuna rubani kaacha kazi juzi tunae humu ndani yaan usanii mtupuKweli kabisa, wanajua wakisema ukweli watakukosa na biashara yao itafeli. Ila wanaushawishi wa hatari aisee, mie walining'ang'ani kwa miezi mi3 mpaka wakaamua kuniacha tu
Daaah....kumbe wako wengi hivyo !Hivi kwanini watu huwa hawasikii ? Kuna thread nyingi sana humu huwa tunawaambia hao jamaa wote wa pyramid schemes na hao qnet ni MATAPELI WA KUTUPWA ...lakin hua hamsikii kabisa ...usawa huu wa huyu jamaa madarakani unampa mtu milioni 5 tena hao jamaa nduguze na gnld na wengineo , si bora mngetukopesha sisi wahitaji jamani kila siku tunaandika thread za kuomba mkopo humu lakin mtu yuko radhi akawape forever living products na jamii ya hao qnet ...yani wote hao wezi tu...sjui forever, sjui gnld, sjui qnet, sjui bitcoin, sjui forex...
Mimi hao wakinijia naishia kuwatukanaga tu.
ukishanunua hiyo saa wanakuambia baada ya mwezi 1 unapata milioni 10Saa Mill 5? Kweli humu Jf kuna watu wanamiliki Visima vya Mafuta Uarabuni wanakuja kutuzunga hapa Jf....