Q-NET naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu

Ukiona hivo ujue hakuna mahusiano mazuri kati yako na mke wako.....kuwa makini na ndoa yako ..
 
Aisee pole sana mkuu
Kuna binti nilisoma nae Chuo kipindi cha nyuma kidogo;
Sasa mwaka Jana mwishoni akanipigia simu (nilikua sina namba yake)..baada ya kujitambulisha nikamkumbuka akaanza sana kunichangamkia mpaka na kuniita maneno ya kimahaba, Mara my dear, my honey yaan ushenzi mtupu.
Lengo lake kuu lilikua ni kuni capture mind ili iwe rahisi kuweza kuniita ofisini kwao.
Siku ya siku kweli nikaingia line akanidanganya my dear naomba kesho uje uone shughuli ninazofanya ofisini kwangu kila nikimuuliza unafanya shughuli kubwa hivo mpaka unataka ugeni? Hakunijibu huku akinisisitiza wew njoo tu (it was my surprise)
Yaan baada ya kufika hapo kebbys hotel (mwenge)
Ni good morng huku ni saa Tisa alasiri yapata..nikajiuliza hawa ni freemason nin..!? (Kimoyomoyo)
Na cha kushangaza zaidi kila mtu ananiita jina langu.
Nilikaa nikisubiri niingie ndani (huyo binti alidai anaanda chumba kwaajili yangu).
Mara baada ya kuingia ndani nilipewa lecture ya watu kama wawili, kila mmoja akidai alikua anafanya kazi nzuri tu Mara engeener, Mara alikua kwenye NGO's za wazungu.
Baada ya kuwafahamu hao Qnet na kwa namna inavyolipa wakaona haina haja ya kuendelea na kazi isiyolipa wakati QNet inalipa mamilioni ya pesa.
Cha kushangaza kila mmoja alikua ananipa mafanikio ya operational manager wao tu kuwa amenunua gari aina ya prado tx ya milioni 40 kwa mda mfupi.
Nashukuru mungu uhuni huo niliushtukia kwa maana nilishatapeliwa na akina forever living huko.
Huyo binti alianza kuniita kwenye second presentation ili nichague nanunua nin kwenye products zao.
Toka siku aliyonieleza huo upupu Mpaka kesho hata message yake sijibu.
 
Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.

Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Poleni sana, ila ni kama wamejitakia kwa tamaa yao ya fedha za haraharaka. Kumbuka kuwa Mungu alisema tutakula kwa jasho
 
Hujakosea mkuu, hizi fursa za kuitwa itwa hizi hatari sana. Pole sana lugeye..
Sehemu za pesa huwa watu hawaitani KAMWE! Wanapiga kimya kimya,ni kama mchimbaji wa madini akikutana na jiwe la thamani, mtaona anabadilika kimya kimya, hamwambii mtu kuwa kapata jiwe la thamani. QNET iko tofauti na pyramid shcmes zingine?
 
Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.

Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Rudi Lugeye tumsaidie Kiswaga kuendeleza jimbo mzee. Halafu samaki wamepungua
 
Ivi unaanzaje kununua saa m.8 uje upewe bl.3 huu ni ujinga tatizo wengi tunapenda mteremko na miujiza.
 
Kigwangala alisema hii biashara ya Q-NET ni halali na watanzania wengi wajitokeze kutumia fursa hii
 
Matapeli, hawawez mtapeli mpenda kula jasho lake.

anayependa kula jasho la mwingine (rahisirahisi) ndo hutapeliwa. So mm huwa sisikitiki nikisikia mtu ametapeliwa
 
Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.

Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Yaani TZS 8 million upate TZS 3.3 billion???????????????? Ni ndoto za alnacha hizo
 
Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.

Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Hakuna kesi hapo si mmeuziwa SAA pia huwezi kuwaloga uchawi ungekuwa huna nguvu waafrica tusingetawalia.Tafuta tu pesa zingine utapata Fanya kama ulitoa sadaka.
 
Watanzania acheni tamaa uliona wapi una invest 8 million after one year unaibuka na bilioni 3,2 ???
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom