Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee pole sana mkuu
Kuna binti nilisoma nae Chuo kipindi cha nyuma kidogo;
Sasa mwaka Jana mwishoni akanipigia simu (nilikua sina namba yake)..baada ya kujitambulisha nikamkumbuka akaanza sana kunichangamkia mpaka na kuniita maneno ya kimahaba, Mara my dear, my honey yaan ushenzi mtupu.
Lengo lake kuu lilikua ni kuni capture mind ili iwe rahisi kuweza kuniita ofisini kwao.
Siku ya siku kweli nikaingia line akanidanganya my dear naomba kesho uje uone shughuli ninazofanya ofisini kwangu kila nikimuuliza unafanya shughuli kubwa hivo mpaka unataka ugeni? Hakunijibu huku akinisisitiza wew njoo tu (it was my surprise)
Yaan baada ya kufika hapo kebbys hotel (mwenge)
Ni good morng huku ni saa Tisa alasiri yapata..nikajiuliza hawa ni freemason nin..!? (Kimoyomoyo)
Na cha kushangaza zaidi kila mtu ananiita jina langu.
Nilikaa nikisubiri niingie ndani (huyo binti alidai anaanda chumba kwaajili yangu).
Mara baada ya kuingia ndani nilipewa lecture ya watu kama wawili, kila mmoja akidai alikua anafanya kazi nzuri tu Mara engeener, Mara alikua kwenye NGO's za wazungu.
Baada ya kuwafahamu hao Qnet na kwa namna inavyolipa wakaona haina haja ya kuendelea na kazi isiyolipa wakati QNet inalipa mamilioni ya pesa.
Cha kushangaza kila mmoja alikua ananipa mafanikio ya operational manager wao tu kuwa amenunua gari aina ya prado tx ya milioni 40 kwa mda mfupi.
Nashukuru mungu uhuni huo niliushtukia kwa maana nilishatapeliwa na akina forever living huko.
Huyo binti alianza kuniita kwenye second presentation ili nichague nanunua nin kwenye products zao.
Toka siku aliyonieleza huo upupu Mpaka kesho hata message yake sijibu.
Ukiona unaitwa kwenye fursa, jua wewe ndo fursa yenyewe
Sio hao tu kuna wengine wanajiita step loans wezi wakubwa na matapeli wa ajabu sana. Na Mimi natoa onyo Kali warudishe pesa zangu haraka. Mimi police siendi lakini ntawakaanga wote kama bisibisi...¡!!
Poleni sana, ila ni kama wamejitakia kwa tamaa yao ya fedha za haraharaka. Kumbuka kuwa Mungu alisema tutakula kwa jashoQnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Sehemu za pesa huwa watu hawaitani KAMWE! Wanapiga kimya kimya,ni kama mchimbaji wa madini akikutana na jiwe la thamani, mtaona anabadilika kimya kimya, hamwambii mtu kuwa kapata jiwe la thamani. QNET iko tofauti na pyramid shcmes zingine?Hujakosea mkuu, hizi fursa za kuitwa itwa hizi hatari sana. Pole sana lugeye..
Rudi Lugeye tumsaidie Kiswaga kuendeleza jimbo mzee. Halafu samaki wamepunguaQnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Watu mna maneno, I can't stop laughingUkiona unaitwa kwenye fursa, jua wewe ndo fursa yenyewe
Yaani TZS 8 million upate TZS 3.3 billion???????????????? Ni ndoto za alnacha hizoQnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Hakuna kesi hapo si mmeuziwa SAA pia huwezi kuwaloga uchawi ungekuwa huna nguvu waafrica tusingetawalia.Tafuta tu pesa zingine utapata Fanya kama ulitoa sadaka.Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Kama ilivo kwa mganga anakuambia iwe siri usimwambie MTU,kumbe unageuzwa mtejaWalimpumbaza kwa kumwambia iwe siri na asimwambie mtu yoyote, wanajua akimshirikisha tu mtu basi atamgutusha.
Umesema vizuri!Ukiona unaitwa kwenye fursa, jua wewe ndo fursa yenyewe