Bensoy
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 577
- 619
Umekosea...forex hawapo huko...Hivi kwanini watu huwa hawasikii ? Kuna thread nyingi sana humu huwa tunawaambia hao jamaa wote wa pyramid schemes na hao qnet ni MATAPELI WA KUTUPWA ...lakin hua hamsikii kabisa ...usawa huu wa huyu jamaa madarakani unampa mtu milioni 5 tena hao jamaa nduguze na gnld na wengineo , si bora mngetukopesha sisi wahitaji jamani kila siku tunaandika thread za kuomba mkopo humu lakin mtu yuko radhi akawape forever living products na jamii ya hao qnet ...yani wote hao wezi tu...sjui forever, sjui gnld, sjui qnet, sjui bitcoin, sjui forex...
Mimi hao wakinijia naishia kuwatukanaga tu.