byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
sawa mkuubora kubet tu kuliko huu utapeli
sawa mkuubora kubet tu kuliko huu utapeli
Good point, Jana kuna rafiki mmoja yuko Qnet kanifuata na BMW nakiajiuliza amenunua lini Gari hii? Oh Mimi Nina pesa sana lakini kichwa kama changu kashindwa kwasababu nawajua wapigaji wale.
Pia wamewafanya vijana wengi kuacha kazi zao nzuri masikini
Kama uchawi vile mpaka najishangaa sana Rafiki Angu wa karibu kanipiga aise.Mkuu ilikuwaje tena ukaingia King?
Kama uchawi vile mpaka najishangaa sana Rafiki Angu wa karibu kanipiga aise.
Bongo bana mambo ya ajabu kabisa DECI ililiza watu , lakini wahusika wakawa wanaiangalia tuu mpaka ilipotaka kufilisi Taifa ndio watu wanashtuka too late, mbona hii inaonekana wazi kabisa ni PYRAMID SCHEME? kwanini wahusika wasikamatwe mara moja?
1. Haya kuna wale wengine wa ndani wanaoitwa ' SANITARIUM" wengi ni waumini wa kanisa moja linalosali jumamosi, wanashikisha watu kacomputa eti kanaangalia magojwa mwili mzima,, wizara ya afya hamuwaoni hawa matapeli?
ilikuwa hivyo kwa jamaa yangu alikuwa D 9 sasa analia ajabuWanaoingia huko wanakuwa na ma hope ya hatari, yaani unakuta wanasema soon nitanunua nyumba ya milioni 100. Kwa ujumla hope ni kubwa. Nimesoma wikipedia yao, nchi nyingi wamekuwa wakifungiwa, they don't last longer, na sasa wamevamia Tanzania
Katika maisha principle ni moja "No easy Money in life"
Kuna mahali alisema ule ni mchango wako wa mwisho,kumbe unaendelea?.Tafuta muda ufanye biashara. TANGU LINI UFUNGUE DUKA UWEKE BIDHAA HUMO NDANI alafu kila siku uwe hulifungui utegemee HILO DUKA LITAKUPA PESA. Eti umeibiwa?! Mwizi gani akuibie alafu akeambie njoo? UNATAKA URUDISHIWE BIDHAA? Nenda wakakupe namna ya kurudisha hiyo bidhaa upewe pesa yako nacho jua hilo linawezekana kabisa. Ila linamuda wake. USICHELEWE. Nenda wewe unaitwa ubapoteza muda nenda ukaelimishwe namna ya kufanya biashara au kurudishiwa pesa.. humu JF hutosaidiwa kitu. Meet them before it is too late. Hakuna PESA ZA BURE. Do sone thing find time for some thing. That is all.
Bora tuendelee kuliwa kwa kubet jero jero,au tatu mzuka au bikoWanaoingia huko wanakuwa na ma hope ya hatari, yaani unakuta wanasema soon nitanunua nyumba ya milioni 100. Kwa ujumla hope ni kubwa. Nimesoma wikipedia yao, nchi nyingi wamekuwa wakifungiwa, they don't last longer, na sasa wamevamia Tanzania
Katika maisha principle ni moja "No easy Money in life"
OMOShida yenu hamuelewi maana ya net work marketing halafu mnaropoka tu kama walevi