Mtu akipigwa hasemi anaogopa mtamchekaKuchapwa kawaida kama unatafuta maisha, na siku zote bila ya tamaa haupigi hatua , mbona kati ya waliojiunga hawalalamiki kuibiwa, kuna mangapi tunafanywa yanaua zaidi ya milioni nne,, acha tuliweza tusharidhika
Kuna baadhi ni wabishi sana. Kuns mmoja aliitoa uzi kuwatahadharisha watu wasinunue hisa za vodacom. Wakamtukana humu. Hisa za vodacom zimeishia wapi?Mtu akipigwa hasemi anaogopa mtamcheka
Kama watu wananufaika wewe unawaita matapeli ww siwatakuita shetani?QNet ni matapeli. Acha kutetea ujinga. Tangazo gazetini si linalipiwa tu. Na tapeli siku zote anacheza vizuri na sheria ukimfuatilia unakuta hakuna sheria aliyovunja.
Hawa QNet waliingia Tanzania toka 2004 enzi hizo wanaitwa Quest Net wakiwa wanauza biodisc (kipande cha glass wanachodai eti kina manufaa kibao ya kiafya).
Ni utapeli tu wa network marketing na pyramid scheme zenye product geresha ndani yake. Ila Watanzania wengi hawajui haya mambo na wanakuwa impressed na ndoto za kumiliki magari na kwenda nje ya nchi.
Nimesikitika kuona manetwork marketing mengi sasa hivi yanatarget watoto waliomaliza form six wakiingia chuo yanawakomba vibumu vyao.
Hawa ni watoto kibiashara maana hawajui lolote kuhusu biashara ndo wanakuja kudanganywa na hizi pyramid scheme zenye bidhaa-geresha ndani yake (aka network marketing companies).
QNet ni wabaya zaidi kutokana na pesa wanayotoza. Ila wako pia Forever Living Products (FLP), Oriflame, GNLD, Tianshi, D9 na Universal Plan B.
Q net wana miaka 15 ya biashara ww kalia ushambaRaha yake utapeli wenu huwa haudumu ni suala la muda tu utalia mkishapewa semina mnakuwa kama machizi wa kuota utajiri baadae akiri itakurudi ukiwa ushachelewa.
Sasa unadhani gazeti kama la The citizen linaweza kuandika taarifa zisizojiridhisha Nazo. Kweli ujinga ni kaburiKwakua wameandikwa kwenye gazeti (THE CITIZEN) ndio kimekua kigezo cha kutuaminisha? Hovyo kabisa
Ok Leo unamiliki nini? Baada ya miaka saba yakukimbia fursa!hiyo niliisikia miaka kama saba iliyopita nikaudhuria semina moja nikahitimisha ni utapeli.
sitaki tena kusikia huo ujanjaujanja na ushawishi wake...
Sasa unadhani gazeti kama la The citizen linaweza kuandika taarifa zisizojiridhisha Nazo. Kweli ujinga ni kaburi
Mpumbavu ni mjinga kama wewe ambaye una msimamo. Kwanza si Gazeti la The Citizen, VP michezo kama ya formula 1 iliyowahi kusponsiwa na Qnet?Labda nikushauri, ili kuficha upumbavu wako jifunze kusoma comment na kuelewa context then kama hauna uwezo wa kuelewa ni bora ukae kimya
Sasa kwa akili yako hisa ni utapeli? Hivi nani aliwaroga wabantu?Kuna baadhi ni wabishi sana. Kuns mmoja aliitoa uzi kuwatahadharisha watu wasinunue hisa za vodacom. Wakamtukana humu. Hisa za vodacom zimeishia wapi?
Hisa ni km kamari. Haina tofauti na utapeli sbb mambo yakiharibika hautarudishiwa hisa zako. Hauna sehemu ya kushitaki.Sasa kwa akili yako hisa ni utapeli? Hivi nani aliwaroga wabantu?
Basi kwa tafsiri yako hata kuoa ni utapeli na kamaliHisa ni km kamari. Haina tofauti na utapeli sbb mambo yakiharibika hautarudishiwa hisa zako. Hauna sehemu ya kushitaki.
Weka hisa lkn uwe tayari kwa lolote. Vipi kuhusu hisa za vodacom? Jiongeze, ni sawa unacheza tatu mzuka au biko
utapeli ni utapeli hata uwe namiaka 100Q net wana miaka 15 ya biashara ww kalia ushamba
utapeli ni utapeli hata uwe namiaka 100
hivi watu hawajifunzagi tu ivi mtu anakupa pesa kirahisi hivyo ushtukitu dunia hii hakuna cha pesa yakupata kieahisi hivyo
Hao jamaa ni matapeli wa kutupwa...ni zaidi ya DECI. Naomba TCRA iingilie kati utapeli huu wa kimtandao.