SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,885
Wadogo zangu wakike na wakiume. Naomba niwashauri kitu kimoja tu siku ya leo. Kama ukipata kazi nchi za uarabuni basi ni nchi mbili tu ndio bora, salama na mishahara mizuri.
DUBAI na QATAR hizi nazipa 100% kwa usalama, ustaarabu na kila sifa za watu wa mataifa mengine kuishi.
Nakuomba usiende nchi zifuatazo:
Saudi Arabia
Oman
Iran
Iraq
Yemen
Leabanon.
Kama utaenda nenda at your own risk, usije ukasema kaka yako sikukuambia.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
DUBAI na QATAR hizi nazipa 100% kwa usalama, ustaarabu na kila sifa za watu wa mataifa mengine kuishi.
Nakuomba usiende nchi zifuatazo:
Saudi Arabia
Oman
Iran
Iraq
Yemen
Leabanon.
Kama utaenda nenda at your own risk, usije ukasema kaka yako sikukuambia.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app