mzenjiboy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 907
- 382
Radio DW imesema ya kuwa Morocco imegoma kuwa mwenyeji wa Africa Cup of Nations 2015 kwa kisingizio cha kuogopa raia wao kuja kuambukizwa na magonjwa ya Ebola.
Kutokana na sababu hiyo nchi ya Qatar imesema wako tayari kuwa wenyeji wa dimba hilo ikiwa shirikisho la soka la Africa, CAF, wataiomba rasmi nchi hiyo.
Pia na timu ya Taifa ya Morocco imefurushwa kwenye dimba hilo.
Kutokana na sababu hiyo nchi ya Qatar imesema wako tayari kuwa wenyeji wa dimba hilo ikiwa shirikisho la soka la Africa, CAF, wataiomba rasmi nchi hiyo.
Pia na timu ya Taifa ya Morocco imefurushwa kwenye dimba hilo.