Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Rwanda na Shirika la Ndege la Qatar zimeingia makubaliano ya TZS 3trilioni, ambapo Qatar itajenga, itamiliki (60%) na kuendesha uwanja mpya wa ndege wa kimataifa wa Rwanda.
Uwanja huo utaweza kuhudumia watu milioni 7 kwa mwaka, na awamu ya pili itaongeza idadi hadi milioni 14.
Uwanja huo utaweza kuhudumia watu milioni 7 kwa mwaka, na awamu ya pili itaongeza idadi hadi milioni 14.