Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
uislamu unapinga muziki je Qaswida nini au Ni aina gani ya muziki ambao wanaupinga na kuita haramu
Kuna sintofahamu Kuna baadhi ya watu wanawalaumu wa Kristo kwa kuimba kwaya au Gospel music je kaswida Ni musiki au sio musiki
"Hekma" na ukongwe wako vimenifanya nisikupe harsh-counterargument".Mkuu,
Kwa ufahamu wangu, Kaswida ni aina ya muziki (genre) ya dini (gospel) inayoimbwa na waislam.
Kaka ...
kaka Hongera Ilo ndio lengo languNeno Qaswida (قصيدة)maana yake ni nyimbo.
Mleta mada bila ya shaka alitaka kujua uhalali wa muziki katika uislam. Bila ya shaka uislam unapinga na kuharamisha muziki, iwe inaimbwa kwa kuegemezea kwenye dini au vyovyote vile.
Na wale wote wanaoimba hizo nyimbo na kutia ala za muziki wanafanya makosa.
Mleta mada amekusudia Qaswida.Sio kaswida tuu hata ile sauti ya adhana ni muziki kwani naweza kukuchorea nota zake kwa sababu ni melodic
Muziki ni mipangilio ya midundo ya ala inayoweza kuambatana na sauti yenye kupanda na kushuka........uislamu unapinga muziki je Qaswida nini au Ni aina gani ya muziki ambao wanaupinga na kuita haramu
Ndugu acha uchochezi, futa kauliSio kaswida tuu hata ile sauti ya adhana ni muziki kwani naweza kukuchorea nota zake kwa sababu ni melodic
Ni muziki 100%uislamu unapinga muziki je Qaswida nini au Ni aina gani ya muziki ambao wanaupinga na kuita haramu
Maa shaa Allah, umejibu vizuri sana na uzuri muuliza swali pia ameelewa.Neno Qaswida (قصيدة)maana yake ni nyimbo.
Mleta mada bila ya shaka alitaka kujua uhalali wa muziki katika uislam. Bila ya shaka uislam unapinga na kuharamisha muziki, iwe inaimbwa kwa kuegemezea kwenye dini au vyovyote vile.
Na wale wote wanaoimba hizo nyimbo na kutia ala za muziki wanafanya makosa.
Hoja dhaifuUislamu upinge mziki au usipinge mziki wewe askari muoga inakuusu nn?nenda kalinde acha uoga.