mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,797
- 105,931
Baadhi ya Walimu walivyokuwa mandezi
Wataingia huko.....
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wataingia huko.....
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Dini imani ya mtu mkuuYani hii Nchi wajinga hawaishi tu maana ni mwendokasi wa bandika bandua matapeli,bandua DECI bandika Refaro Africa,bandua Refaro bandika forex ya Ontario bandua forex bandika Mr kuku,bandua kuku bandika Qnet,bandua Qnet bandika BF suma.
Upande wa kidini hivo hivo,bandua Mwasapile wa loliondo bandika Misukule wa ubungo,bandua misukule bandika arise and shine kanyaga mafuta kula cake upate nyumba na magar chap chap,naye naona atabanduka soon kuna mtu anakuja kasi hapo mpakani Mwenge yeye ana uvumba na manemane yani unanukia utajiri tu
Achana na ualimu sasaDah... walimu tunatukanwa aisee
Mazezeta
Masikini
Vilaza wa taifa
Lialia
Nk... wote ni sisi hao na tunayapokea tu
Hawa wamemgeuza aliyekua ticha wangu wa GS kuwa daktari. Yaani anauza madawa yao akianza kutoa semina utafikiri ni dokta kumbe mwalimu wa General Studies.
Hawa wamemgeuza aliyekua ticha wangu wa GS kuwa daktari. Yaani anauza madawa yao akianza kutoa semina utafikiri ni dokta kumbe mwalimu wa General Studies.
Mpaka mzigo ujae, walizwe wengi.Alafu watangoja ela zijae ili DPP aje kuzikwapua.
Sometimes nahisi ni plan ya serikali kujipatia pesa.
Na vigari vyakukodiiUkishaanza kuona matangazo watu wamevaa visuti jua hapo unapigwa za macho.