Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,018
- 26,330
Enzi za vyama vya wasanii
Sugu alikuwa na chama chake na FA akaanzisha chake Sasa Kuna dili Fulani hivi FA akaleta usnitch jamaa hafai
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za vyama vya wasanii
I think yupo kwenye self quarantine. Aisee we Jamaa upo? Nakukumbuka Sana ulikuwaga staff @ U Turn Blog.
Aisee. Kumbe mkuda hivyo?
Hujambo??Mwanakuyataka, mwana kuyapata.
Kama ana danganganya atapewa sawa na matamanio yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ukimuona tu jina lake linaanzia ni mwana lazima awe na katabia flani ka "kike" hata kana ni la kisanii. Hivi hata kama ndio alikuwepo kwenye uzinduzi wa Harmonize, ila south sio mbali anaweza kwenda na kurudi lakini bado hainiingii akilini kwamba amejiweka self quarantine, kwani yule mgonjwa wa Arusha baada ya kujiweka self quarantine si aliwapigia simu wahusika na kuja kuchukuliwa na kupelekwa KCMC. Sasa iweje kwa hapa Dar ambapo setikali imetangaza kuwa wagonjwa wa (Covid- dis-neuf) watahudumiwa na Hospitali ya Muhimbili (Mloganzila) sasa kwanini aendelee kuwepo nyumbani kwake? Hizi ni drama za wazi kabisa, watu watamuona Q chillah kama loser lakini pia anaweza kuwa ni best loser. Muda mwingine tujaribu kuunganisha matukio tutagundua vingi sana. Eti ameugua na amepona! Tuache drama.
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Nope sio
Ameruka ruka tu mara Fa mara Q Chilla. Hovyo kabisa.Hoja yako ni ipi?maana umechanganya mambo kwenye Uzi wako mpaka nimeshindwa kujua main point ni ipi
Alhamdulillah za kwako?? Upo hapa hapa visiwani???
Hajaugua ila ameshapona!Sijaelewa
Mwana FA keshaugua na keshapona?
Sasa yupo nyumbani kwake?
Nope
Sugu mzee wa Deiwaka,,Enzi za vyama vya wasanii
Sugu alikuwa na chama chake na FA akaanzisha chake Sasa Kuna dili Fulani hivi FA akaleta usnitch jamaa hafai
Sent using Jamii Forums mobile app
FA ni mwanamziki mzuri tu
Ana kipaji Cha utunzi Ila ni snitch kitambo sana muulizeni Sugu anajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nope sio