Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Asee na sikiliza East africa radio, Q chillah anahojiwa kwa kiswahili anaijbu kiinglish, English yenyewe ya kindagaten..
Hivi huyu jamaa ana matatizo gani siku hizi? toka ameingia kwenye taarabu amekuwa na swaga za ajabu ajabu sana hadi ana kera.
Hivi huyu jamaa ana matatizo gani siku hizi? toka ameingia kwenye taarabu amekuwa na swaga za ajabu ajabu sana hadi ana kera.