swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Ana laana yuleJamaa ndiyo alikuwa analia jana kwenye media
Ana laana yuleJamaa ndiyo alikuwa analia jana kwenye media
hahaa... hata huku kwetu kuna kijana ni dereva wa Boda+ anaitwa 50centQ Chief ni nickname......inawezekana sio huyo mwanamziki.......mimi nina mkata nyasi anaitwa Juma Kassim......nawasikia watoto wanamwita JK
ha hahaaasasa jinsi alivyo laini akienda jela yule si atarudi mke wa mtu????????
hajihurumii?
acha hizo " mkuu hebu fuatilia vyema huu mjadala tangu mwanzo ..halafu kama ulikuwa haujui mnamo 2007 gari ya q.chief ilishawahi kukamatwa na police kwaajili ya kuhusishwa na ujambazi "" muwage mnafuatilia mambo aiseeKama umemaanisha Q chief msanii, basi muombe radhi...katoka tu juzi kwenye Interview kuomba kazi, na wewe huku unaanza kumuharibia kwa kumuita mwizi wa magari...jamani atasaidikaje sasa!!!
hahaa... hata huku kwetu kuna kijana ni dereva wa Boda+ anaitwa 50cent
ha hahaa sawaaa""Huku Mtoni Mtongani kwenye ubanda wetu wa gongo, mama anaetuuzia anaitwa Beyonce.
Umewalaumu bure police apo....kwani nan kawahi kwenda direct kumshitak uyo q chief wakat haibi yeye sana sana ukaambiwa ni kundi lake tu. Wew umeenda kutoa taarifa umeibiwa vtu kadhaa...ulipoulizwa nan aliyekuibia je ulimtaja uyo q chief!!!!???? Au ulisema hufaham aliyekuibia. Sasa hapo polisi wanaanzaje kwenda kumkamata wakat wew huna ushahid wowote. Hao polisi wanasikia tu km unavoskia wew na ata km wanajua wanaanzaje wakat huyo mtu hajawah kukutwa anaiba zaid ya kuskia story za mtaani tuJana nimeibiwa laptop, power window, head rest, redio na mkoba uliokuwa na makabrasha na nyaraka mbalimbali nilipokuwa Mlimani City mida ya usiku. Walinzi wa Mlimani City wanasema kuwa wao hawahusiki na ulinzi wa magari. Basi kwenye kudadisi kwangu mlinzi mmoja akaniambia wanaovunja vioo na kuiba vitu kwenye magari hapo Mlimani City ni kundi la Q Chief.
Nikaenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Mwenge ambako nilipewa Rb. Polisi nao wakaniambia kuwa hilo kundi ni la Q Chief.
Polisi wakanielekeza niende mitaa ya gerezani huko ntaweza kupata vifaa vya gari yangu.
Sasa natokea gerezani, nimepata vitu vyangu na kuhusu laptop wameniambia niende Azam kuna bwana anaitwa Salehe nimuone.
Cha kushangaza ni hiki, Polisi wanajua kuwa Q Chief ni mwizi na anamtandao wake, kwa nini hawamkamati na kumfungulia mashtaka?
Kweli jeshi letu la Polisi linanuka rushwa.