Pape, Acha hasira mkuu maana ni wazi kabisa kuwa hapo bendera zimepachikwa kwenye bendera za timu za mataifa ambayo yalihusishwa na uchawi wa huyu pweza. So it is an obvious photoshop.
Pape, Acha hasira mkuu maana ni wazi kabisa kuwa hapo bendera zimepachikwa kwenye bendera za timu za mataifa ambayo yalihusishwa na uchawi wa huyu pweza. So it is an obvious photoshop.
Wakuu yule Pweza mtabiri Paul aliyejipatia umaarufu mkubwa katika kutabiri games za Kombe la dunia sasa kaibukia kwenye mambo ya siasa kwa kututabiria uchaguzi wetu mkuu 2010. No comment for now.
Wapendwa nashauri tujitahidi kuepuka kuwa Drowned na imani ya hivi vitu!!. Tukiruhusu kupanga mipango yetu kwa kuzingatia matokeo ya mambo kama hayo au yanayofanana na hayo( Shekh Yahaya) Tutakuwa tumekwisha, Na huwa ni ngumu sana kuondoa akilini imani za hayo mambo!!. Tukae chonjo watanzania!! Lets base our decisions on well researched scientific facts!!!
Mkuu big up! Tatizo ni kuwa wadau hapa hawajui jokes.Utani si lazima uwe na ukweli.Na hao wanaokuletea watakuwa haohao wa CHE CHE MEE!Anyway it's a great creative work you have presented.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.