Pwani ya Mkuranga ipo 1964 nyuma ya wakati Goba ipo 2022/23

je parle

JF-Expert Member
Nov 28, 2018
1,874
3,611
Mkoa wa pwani sijui nani aliuroga nadhani alie uroga huu mkoa tayar alishakufa.

Huu mkoa una barabara za kuunga unga mno ni aibu tupu ukiwa ni mkoa unao unganisha mikoa ya kusin lindi na mtwara

Lakini ni tatizo katika kuingia mji wa biashara na uchumi mkubwa dar es salaam

Njia ni ile ile ya miaka ile enzi za uhuru 1961, njia inaruhusu gari mbili tu ,gari ya kuenda na kurudi, ukijaribu ku over take unaua watu maana hii njia kuanzia mbagala hadi mkuranga ina magari mengi sana

Mji umekuwa sana kuanzia mbagala hadi mkuranga ,watu wamejenga sana lakin cha kushangaza huduma za kijamii ni za kuunga unga sana ,yan hakuna hospital ya kueleweka hakuna shule za kueleweka wakati watoto wanazaliwa kila siku na watu wanahamia watu katika majumba yao...


Serikali mwilikeni taa huku pia kuna watu wana roho kama watu wa bunju ,goba,madale, tegeta ,mbezi,kibamba na kimara

Tunaomba barabara hata ya njia tatu kama sio nne

KWA MFANO LEO WAZIRI MKUU KATEMBELEA KIBITI
FOLENI ALIYOACHA HUKU NI KUBWA HAISEMEKI NI AIBU KWA NCHI ILIYO KATIKA UCHUMI WA KATI

GARI ZIMEWEKWA PENDING MASAA MATATU KUSUBIRI MSAFARA UPITE

KWA MFANO KAMA NJIA ZINGEKUWA NNE YASINGETOKEA HAYA YOTE

HAPA MMESABABISHA MADEREVA WA DALADALA KUKOSA HELA YA BOSS .MAANA KAMA ALITAKIWA APIGE RUTI KUMI KWA SIKU ATAPIGA SITA TU NA HATAPATA HELA YA MAFUTA YA BOSS NA POSHO YAKE

Mmesababisha raia kukaa kwenye gari masaa manne kisa msafara wakati ni jambo dogo tu la kuongeza njia huku.

Kwani njia nne kuanzia mbagala hadi kongoe au hadi vikindu ina gharimu kiasi gani ,??? Ili tuchange kila nyumba tujenge wenyewe ??? Nyie jengeni barabara za goba na makumbusho.

Inaumiza sana kuona barabara za mitaa tu zinapigwa lami huko dar es salaam alafu huku kimya kama hakuna watu

Bora tujitenge tuwe na nchi yetu

Nina hasira sana !!


Wandengereko, wamakonde na wazaramu tunadharuliwa nchii kama sio watu vile

Mana ndio tumerundikana wilaya hii ya mkuranga.
 
Polisi njaa hawana akili wanafanya kazi kwa kujipendekeza ndio maana kuwekesha watu kwenye foleni kwa sababu za kipuuzi sio issue kwao, na haya maviongozi yanajiona kama mtu mungu bado yana akili ya kufunga barabara msafara wao upite wakati yakienda Europe yote yanakusanywa kwenye basi kama, huu ujinga wa kufunga barabara mafisadi wapite upigwe marufuku
 
Ila kusini wanaonewa sana. Sijui kwa nini serikali haioni umuhimu wowote wa kujenga barabara ya njia hata 6 kwenda kusini kuanzia Mbagala. Ni kama vile maendelea hapa Tanzania ni reserved kwa watu wa bara hasa wanaopita barabara ya Kimara..

Si ajabu barabara ya kwenda Bagamoyo ikaja kuwa ya njia 4 kabla ya hii ya kwenda mkuranga
 
Ila kusini wanaonewa sana. Sijui kwa nini serikali haioni umuhimu wowote wa kujenga barabara ya njia hata 6 kwenda kusini kuanzia Mbagala. Ni kama vile maendelea hapa Tanzania ni reserved kwa watu wa bara hasa wanaopita barabara ya Kimara..

Si ajabu barabara ya kwenda Bagamoyo ikaja kuwa ya njia 4 kabla ya hii ya kwenda mkuranga
Sasa Mkuranga njia nne za nini? Mbona ukishavuka tu Mbagala habari ya folen imeisha..
 
Mkoa wa pwani sijui nani aliuroga nadhani alie uroga huu mkoa tayar alishakufa.

Huu mkoa una barabara za kuunga unga mno ni aibu tupu ukiwa ni mkoa unao unganisha mikoa ya kusin lindi na mtwara

Lakini ni tatizo katika kuingia mji wa biashara na uchumi mkubwa dar es salaam

Njia ni ile ile ya miaka ile enzi za uhuru 1961, njia inaruhusu gari mbili tu ,gari ya kuenda na kurudi, ukijaribu ku over take unaua watu maana hii njia kuanzia mbagala hadi mkuranga ina magari mengi sana

Mji umekuwa sana kuanzia mbagala hadi mkuranga ,watu wamejenga sana lakin cha kushangaza huduma za kijamii ni za kuunga unga sana ,yan hakuna hospital ya kueleweka hakuna shule za kueleweka wakati watoto wanazaliwa kila siku na watu wanahamia watu katika majumba yao...


Serikali mwilikeni taa huku pia kuna watu wana roho kama watu wa bunju ,goba,madale, tegeta ,mbezi,kibamba na kimara

Tunaomba barabara hata ya njia tatu kama sio nne

KWA MFANO LEO WAZIRI MKUU KATEMBELEA KIBITI
FOLENI ALIYOACHA HUKU NI KUBWA HAISEMEKI NI AIBU KWA NCHI ILIYO KATIKA UCHUMI WA KATI

GARI ZIMEWEKWA PENDING MASAA MATATU KUSUBIRI MSAFARA UPITE

KWA MFANO KAMA NJIA ZINGEKUWA NNE YASINGETOKEA HAYA YOTE

HAPA MMESABABISHA MADEREVA WA DALADALA KUKOSA HELA YA BOSS .MAANA KAMA ALITAKIWA APIGE RUTI KUMI KWA SIKU ATAPIGA SITA TU NA HATAPATA HELA YA MAFUTA YA BOSS NA POSHO YAKE

Mmesababisha raia kukaa kwenye gari masaa manne kisa msafara wakati ni jambo dogo tu la kuongeza njia huku.

Kwani njia nne kuanzia mbagala hadi kongoe au hadi vikindu ina gharimu kiasi gani ,??? Ili tuchange kila nyumba tujenge wenyewe ??? Nyie jengeni barabara za goba na makumbusho.

Inaumiza sana kuona barabara za mitaa tu zinapigwa lami huko dar es salaam alafu huku kimya kama hakuna watu

Bora tujitenge tuwe na nchi yetu

Nina hasira sana !!


Wandengereko, wamakonde na wazaramu tunadharuliwa nchii kama sio watu vile

Mana ndio tumerundikana wilaya hii ya mkuranga.
Yote haya shida ni foleni tu? Mkoa ulirogwa barabara na Wanyamwezi labda, watani wao Wahenfa wao? Yaani hii hadi izue hasira ya kisasi duh!
 
Hii njia ni kero kwa kweli.kama huna uvumilivu huku hata kama umejenga unaweza kuhama ukaacha nyumba.
 
Back
Top Bottom