miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,971
duh hatari sana
Naamini kabisa askari wanafahamu huu mchezo.hii sasa sio hali ya kuinyamazia, hawa watu wasiojulikana wanazidi speed serikali, maana wanaongeza idadi ya kuua...
kuna ujumbe unaletwa na mauaji haya, labda mpaka ueleweke ndio tutaweza kupambana nao..
Wamedhulumiwa na sirikaliNani kadhulumiwa na kadhulumiwa nini?
Why JWTZ?JWTZ ndio suluhisho huko.. hadi magaidi waishe..
intirijinsia yetu iko ChademaHuu ni ushahidi kuwa tuko weak sana kiintelijensia.