Habari jamani, Kuna jambo moja binafsi linanisumbua akili yangu saana, Kwa uchunguzi wangu mdogo nimegundua kuwa Maeneo ya pwani, namaanisha Tanga, Dar, Mombasa, Kuna tabia ambayo siyo nzuri, Idadi kubwa ya wanawake wanaingiliwa kinyume na maumbile, pia mashoga ndo chanzo chao huko, Kwanini! Ki historia nagundua kuwa maeneo hayo wageni walikuwa wanatumia kama njia ya kuingilia nchini, je inaweza kuwa ndo sababu? Naamini mashoga na tabia ya kuingilia wanawake kinyume na maumbile wapo kila mahali sasa, lakini idadi imetofautiana kulingana namaeneo nilotaja, labda hii inatokana na watu kusafiri hivyo kusambaza tabia hiyo. Nisaidieni jamani.