Kuna mpango wa kuitenga pwani ya afrika mashariki na kuvunja muungano ili pwani ya Afrika Mashariki iungane na Zanzibar na kurudi enzi za utawala wa kisultani. MRC ya Mbombasa ni sawa na Uamusho huko Zanzibar.
wafanye watakavyo
lakini enzi za kulazimishana kwenye umoja wa kitaifa huku wengine ndio wanafaidia halikubalini hata kidogo
Pemba nao watafuata muda si mrefu!