kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
Mapinduzi ya viwanda duniani yalitokea Marekani kwenye mji wa Detroit Jimbo la Michigan.
Mji huo sasa hivi yamebaki magofu ya viwanda hivyo kutokana na madhara makubwa yaliyotokana uchafuzi wa mazingira.
Hewa, maji na viumbe viliathiriwa sana na uchafu kutoka viwandani na kusababisha magonjwa ya saratani na mfumo wa hewa na vifo vingi vilivyosababisha wafanyakazi migomo mikubwa wakidai fidia kubwa na mishahara mikubwa.
Hali hii ilipandisha gharama za uzalishaji viwandani Marekani na ndiyo iliyosababisha viwanda vya mji huo vihamishiwe Asia ili kupata unafuu wa uzalishaji. Lakini wamehamishia tatizo la uchafuzi wa mazingira kwenye mataifa mengine.
Wakati mkoa wa Pwani mkishangilia viwanda vingi kumbukeni hatima ya wajukuu wenu pia kiafya na kimazingira.
Mji huo sasa hivi yamebaki magofu ya viwanda hivyo kutokana na madhara makubwa yaliyotokana uchafuzi wa mazingira.
Hewa, maji na viumbe viliathiriwa sana na uchafu kutoka viwandani na kusababisha magonjwa ya saratani na mfumo wa hewa na vifo vingi vilivyosababisha wafanyakazi migomo mikubwa wakidai fidia kubwa na mishahara mikubwa.
Hali hii ilipandisha gharama za uzalishaji viwandani Marekani na ndiyo iliyosababisha viwanda vya mji huo vihamishiwe Asia ili kupata unafuu wa uzalishaji. Lakini wamehamishia tatizo la uchafuzi wa mazingira kwenye mataifa mengine.
Wakati mkoa wa Pwani mkishangilia viwanda vingi kumbukeni hatima ya wajukuu wenu pia kiafya na kimazingira.