Serikali inabidi ibadili mbinu za kupambana na hawa washenziWatu wasiojulikana wamemuua askari wa Usalama Barabarani katika kijiji cha Bungu B wilayani Kibiti, mchana huu.
Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa gari la askari hao pia limechomwa moto na kwa sasa vikosi vya ulinzi na usalama vimeelekea eneo la tukio.
Tutaendelea kukujuza jina la askari huyo na namna mauaji hayo yalivyotokea hivi punde.
Chanzo:
huyo aliye salimika angalau atatoa mwangammmmh
Maskini polisi wetu wanashindwa kudhibiti mauaji kibiti hasira wanamalizia kwa walemavu.
Tumepeleka jeshi, bado mauaji yanaendelea. Ni wakati sasa wa wauaji kusema wanachokitaka
Busara gani ndugu....hao jamaa wanaua tu...hawatoi sababuPole askari wetu..... eneo la Kibiti kwa sasa si salama kinachotakiwa ni busara ku handle wala sio vitisho.
Sure. Inasikitisha sana. Nadhani tunahitaji mikakati thabiti ya kupambana na hawa maharamia wa PwaniSerikali inabidi ibadili mbinu za kupambana na hawa washenzi