hapo kwenye viongozi pia alijikanyaga.Hakuna popote kwenye clip panakoonekana au kusikika akikataa kujibu swali. Wamemkatisha kwa kumlazimisha asalimie kwanza kichama, na akawajibu kiungwana kuwa haruhusiwi. Walipomtajia reference za IGP na RPC wa Arusha akawajibu kuwa hao ni viongozi wanaruhusiwa, yeye ni askari mdogo haruhusiwi.
Pia wakumbushe huyo Rais wao alipata kura laki 9 tuMnacho jivunia kina mwisho kumbukeni kile kipindi cha uchaguzi mlipo zikana sare zenu baada yakuwa mkizomewa one day yes
Aiseee ukisikia top down effect ndiyo hii.
Kinachofanyika juu kinashuka na kuigwa chini, WE ARE DOOMED, it is just a matter of time TUNAENDA KUSAMBARATIKA KABISA,
Angalia hii video kwa makini ujionee na usikie mwenyewe,sitashangaa kusikia huyo askari katoweshwa au kachukuliwa hatua kali kwa maelekezo fulani.
View attachment 1181707
January makamba aliyemtengenezea kura zote wamemtupa benchi sijui 2020 kama hatauza siri pande inginePia wakumbushe huyo Rais wao alipata kura laki 9 tu
Meya wa jiji la Dsm ni chadema walipa kodi ni wananchi wote pasipo itikadi yeyote iweje CCM wajione pesa za watanzania wote ni pesa zao binafsi?Akili zingne za kijinga sana Kwahiyo Ccm kupewa ridhaa ya kuunda serikali ndio wanajiona wao ndio wanalipa mishahara watu?
Yaan wao kuwa wakusanyaji wa kodi kwa niaba ya wananchi ndio wanajiona wanatoa hela mfukoni mwao!
Ni sawa na msimamizi wa ujenzi wa nyumba anauetumwa akawalipe mafundi basi anajiona yeye ndio boss na mwenue nyumba
Naungana na hoja yako kwa 100%Huyo askari anatakiwa apandishwe cheo.
Majeshi ndiyo nguzo muhimu ya taifa na askari wote wanatakiwa wafanye kazi kwa weledi na uzalendo.
Walinde katiba na pale hali ya uvunjifu wa amani, uonevu kwa raia unapozidi kutokana na sababu za kisiasa, washike madaraka kwa muda.
Hawatakiwi kabisa kuungana na makundi ya kisiasa hadharani, hasa wakati wa amani.
Poor, kwNza huyu kiongoz ni wa kuchukuliwa hatua. Askari unamwambia atoe salama ya chams ?? Umetudhalilisha sana, fuatilia viongoz wote waliowahi pita Kama huu upuuzi wake upo, tumsamehe bure tuendelee na ujenz wa Taifa la uchum wa kat Na viwandaAiseee ukisikia top down effect ndiyo hii.
Kinachofanyika juu kinashuka na kuigwa chini, WE ARE DOOMED, it is just a matter of time TUNAENDA KUSAMBARATIKA KABISA,
Angalia hii video kwa makini ujionee na usikie mwenyewe,sitashangaa kusikia huyo askari katoweshwa au kachukuliwa hatua kali kwa maelekezo fulani.
View attachment 1181707
CCM:Kituo cha polisi hakifunguliwi masaa 24,............,leta maneno!
Askari:Kwakweli hilo suala....(anakatishwa)
CCM:Salimia kichama bhana
AskariAnajieleza kwanini hawezi kusalimia kichama:
CCM:Kama IGP mwenyewe anasalimia,RPC anasalimia kichama,wewe nani bhana?
Askari:Mimi ni mtu mdogo sana kwa cheo,sipaswi....
CCM:Mshahara unalipwa na nani?
Askari:Serikali
CCM:................ondoka hapa,naombeni jina lake na cheo chake(Sijui anataka ampigie Magu ili aongezwe cheo ili kwa siku za baadae aseme CCM oyee)