themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,800
- 2,817
Kama vyeo vinapanda kutokana na maadili ya kazi basi ni matumaini yangu kuona coplo alie iva na kufahamu majukumu yake vizuri akipandishwa cheo
Kangi unamuonea bure ,ccm na polisi ni kama tako na chupi miaka na miakaTulishaonya swala la Kangi kulazimisha Jeshi kuchangamana na Siasa.
CCM imejaa washamba wasiyojua hata tofauti ya Chama cha siasa na Serikali ..
Hovyo sana.
Ubaguzi uko wapi?Hii nchi inakoeleka kubaya sana ubaguzi umekithiri
Haya ni mawazo yako weweCCM wamejipa mamlaka ya kujimilikisha kodi za watanzania kuwa mali yao. Hii nchi sasa kila kitu ni fadhila za chama hata mshahara uliowekwa kwa mujibu wa sheria na vigezo vya kazi ni hisani ya chama.
Aibu gani?Hii ni fedheha na aibu! IGP anapaswa kuwa mkali kwa wanasiasa wanaofanya haya. Aibu sana hii.
Aibu gani?
Huyu jamaa anatafuta ugomvi .! Ni kada na hana cha kutetea hapa, anachokitafuta ni mtu wa kubishana nae .!Polisi, wanajeshi, wafanyakazi wa umma inabidi wawe neutral ili kuiweka nchi pamoja. Hawa sio wanasiasa.
Hajakosea, amekosewa inabidi aombwe msamaha, Dar dharau?
Wewe ulikuwepo?Polisi, wanajeshi, wafanyakazi wa umma inabidi wawe neutral ili kuiweka nchi pamoja. Hawa sio wanasiasa.
Hajakosea, amekosewa inabidi aombwe msamaha, Dar dharau?
Ccm wangekuwa wanapenda haki na taifa letu walipaswa kupeana semina za ndani nin jukumu la jeshi la polis kwa jamii.polis wanapaswa kuwa impartial wao hawachangamani na chama chochote cha siasa, pia wafanyakazi wa umma na polis wakiwemo hawalipwi na chama chochote Bali kodi za watanzania wote.huyo MNEC ameistaajabisha jamii.... kuna watu wa ccm wamejichekesha kinafiki hapo lakini nashukuru hawakupiga yale makofi ya kinafiki...... ASKARI AMEONDOKA KIABE HAKIKA.
Polisi munaona mnaowabeba jinsi wanavyo wadharau?
IGP unaitwa majina ya hovyo kwa vile umeruhusu hali hii ishike kasi bila kuikemea.
Zamani nilikuwa nafikiri IGP Mangu ndio alikuwa lainilaini kumbe nilikosea wewe wa sasa sio tuu ni lainilaini bali hawa tuviongozi wa ccm wanakuona mdebwedo kabisa.
Kitendo cha RPC wa Arusha (yule msindikiza dhahabu wa Mwanza) kujikomba kwenye mkutano wa CCM nilijuwa lazima kitaleta madhara makubwa, ona Leo kimekuwa reference ya nini polisi afanye kwa wanasiasa wachovu.
Kama IGP hatoi tamko kwenye hili kweli atakuwa mdebwedo hasa
Huyu jamaa anatafuta ugomvi .! Ni kada na hana cha kutetea hapa, anachokitafuta ni mtu wa kubishana nae .!