Mkuu PUTS 12 ni 1,080,100, PUTS 13 NI 1,348,070 na PUTS 14 ni 1, 701,010 na kuendelea. Hiyo ni kabla ya mabadiliko ya July 2011
mi ninavyojua hizo PUTS zinategemeana na miaka mtu aliyokaaa kazini, kuna kitu kinaitwa nochi, kama ni new employee utapata nochi ya kwanza yaani PUTS 12 nochi ya kwanza, muda unavyoongezeka unapanda unaingia nochi nyingine up to mazmum level, so . so usishangae level moja as TA lakini salary tofauti