Putin na Trump

Mwagachai

Member
Sep 22, 2016
29
50
Wataalam wa siasa za Urusi na mahusiano yake na Marekani naombeni kujua kuna faida gani ambayo Urusi ya Putin itapata kwa kuchaguliwa kwa Trump. maana nasikia na kusoma katika vyombo vya habari kuwa hawa warusi walifanya kuhack mitandao na mawasiliano ya US kiasi cha kufanya Bwana Trump ashinde. je bi Hillary alikuwa na tishio gani kwa urusi. Pasco, Chahali na Tiba rwezile hebu nipe neno la kunifungua macho
 
Hamna faida yoyote kwa taifa la urusi bali ni faida kwa mnyama Putin kwa sababu 2012 kipindi anagombea clinton alimkebehi sana na kumfanyia hujuma sasa putin akaona alimpotezee muda bali alipize ili waende sawa.
Huyu mama alilalamika sana na akakiri ni kweli alimfanyianhujuma putin ndo maana na yeye kahujumiwa.

Kwa hili bifu mimi naamini kabisa urusi walihack mitandao ya uchaguzi nchini humo maana warusi kwa mambo ya teknolojia ya komputa sio mchezo hapo hujaweka mambo yya silaha za kivita na vyombo vya kusafiri angani.
 
Mke wa Trump ni Msoviet kwahiyo kuna kaushemeji kwa mbali, so Hainaga ushemeji inaweza kuhusika hapo, ila ngoja wadau wengine tuone wanasemaji
 
Back
Top Bottom