Putin awafuta kazi Majenerali watano, kachanganyikiwa

Kitu pekee ninachokipenda kwa vita hii, ni hawa Caucasians wafahamu hata Afrika tuna migogoro kwa sababu ya real issues: nyingi wamezianzisha wao. Na si kwa sababu ya upumbavu au ukatili (unyama) wetu. Walikuwa wanatutazama kama wenye matatizo ya akili, hatuwezi kuishi pamoja. Hellooooo!
 
Hizi habari si njema sana kwa pro Russia, lakini ndio hali halisi Putin akiiogopesha sana dunia kabla ya uvamizi kwa Ukraine lakini sasa ni kama vile kajianika uwanjani na madhaifu yake yote

Operetation mwezi 4 sasa kwa nchi kama ukraine lakini majenerali 25 wameondoka, hii si dalili nzuri kwa mafanikio ya Putin, ni pigo kubwa sana na huenda West wamepata nguvu zaidi na kubaki mahali salama baada ya kumsoma fika adui putin, kila onyo putin analotoa west wanamfanyia makusudi ili arespond lakini Putin ni mwoga sana kumbe
sijao taifa la west liingize pua huko ukraine wamejaribu kutuma silaha zao nzito lakin hamna kitu wameiwekea urusi vikwazo lakin vimedunda kilichobaki wapeleke matako tu

Yaan silaha nzito zinageuzwa chuma chakavu
 
Wamerisishwa
Tangu zelensky akiri kuwa asilimia 20 ya ukraine imeshachukuliwa na urusi basi pro ukraine wangi wamekuwa wakitapa tapa kama huyu mtoa post

Kuna uwezeka pro ukreine weng wameathirika kisaikolojia
Wamerisishwa tabia za west media
 
PUTIN anazidi kuwakandamiza tu,,,, Muda utaongea...

Hii kutapatapa na Propaganda haitawasaidia lolote
 
Huku majenerali wakiendeleea kuuawa vitani, kaona heri awapunguze mwenyewe maana sio kwa aibu ambayo Urusi inazidi kupata kutoka kwa kajirani kadogo Ukraine.

Binafsi hainingii akilini hii ni ile ile Urusi niliyoiogopa siku zote, ndio inalizwa hivi

=========

Vladimir Putin fired five generals from the Russian military's top brass, per local media outlets.

Russian President Vladimir Putin fired five major generals this week.
  • Vladimir Putin fired five generals from the Russian military's top brass, per local media outlets.
  • The dismissals come just days out from the 100-day mark of Russia's invasion of Ukraine.
  • Russia has been faring poorly in its military incursion, sustaining staggering losses
Russian President Vladimir Putin fired five generals from the military's top brass this week amid Moscow's stumbling invasion of Ukraine.

Putin's dismissal of the generals was reported by the Russian newspaper Pravda, which cited an extract of the decree that a source confirmed to be authentic.

Per the outlet, the decree listed five major generals — Vasily Kukushkin, Alexander Laas, Andrey Lipilin, Alexander Udovenko, and Yuri Instrankin — as well as police colonel Emil Musin.

All five major generals held leading positions in the military for their various regions.

Their firing comes weeks after two generals were fired for performing poorly in Ukraine.

According to UK intelligence, Lieutenant General Serhiy Kisel, who commanded the elite 1st Guards Tank Army, was suspended for failing to capture Kharkiv. Meanwhile, Vice Admiral Igor Osipov, who commanded Russia's Black Sea Fleet, was fired after the Moskva battleship was sunk in April.

Meanwhile, Russia's top commander for the Ukraine war, Gen. Alexander Dvornikov, has not been seen for weeks, leading some US officials to speculate that he might have been removed from his post.

At least 25 Russian generals and commanders have been killed in action amid the Ukraine war.

Apart from the reshuffling and culling in the ranks of Russia's military elite, trouble has also been brewing among rank-and-file officers involved in the conflict. More than 100 members of Putin's "private army' were fired for refusing to fight in Ukraine, and hundreds of Russian soldiers have deserted the military.

Russia's invasion of Ukraine has gone unexpectedly poorly, particularly after it suffered "devastating losses" of its junior officers. Western officials estimate that some 15,000 Russians have been killed in the invasion. Ukraine, meanwhile, claimed it has killed 30,000 Russian troops.

Friday marks the 100th day of the Ukraine war, which began when Putin launched an unprovoked invasion of the country on February 24.

Business Insider
 

Attachments

  • Screenshot_20220610-142654_Facebook.jpg
    Screenshot_20220610-142654_Facebook.jpg
    150.2 KB · Views: 11
Back
Top Bottom