Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Bush maamuzi yake yameigharimu sana USA ndo maana unaona Trump anabweka kama mbwa koko, pesa za kupigana hovyo hawana China inawasumbua akili we unaona Trump kashindwa hata kuipiga Venezuela, kule Iran anatoa ahadi zisizoelewekaPutin hadi kingereza alikuwa anakiongea ila siku hizi anajifanya hakijui
Putin baada ya kuingia Obama alikaa mbali na USA
All in all Bush alikuwa na ushawishi