Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
vipi kuhusu nondo
Nondo sawa ila jiulize unataka nn ktk mwili wako?vipi kuhusu nondo
HahahahahInawezekana maana Mimi nilikuwa napiga 900 asbh 300 mchana 300 na jioni 300 nikawa kama mdudu lkn sasa spinal inasumbua sana
Uko sawa mkuu.Kiafya unatakiwa ufanye mara moja tu kwa siku ili muscles zipate muda wa kurecover....tena ikiwezekana kesho yake unatakiwa upumzike ufanye mazoezi part nyingine ya mwili like squats hivi...na lazima uweke Siku za kupumzka kabisa moja au mbili kwa wiki...
nataka kuwa mbavuNondo sawa ila jiulize unataka nn ktk mwili wako?
Ulemavu gani wanao watu wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vyuma vizito?Haina shida Ila inatakiwa ukimaliza kupiga hizo push ups lazima ufanye mazoezi ya kustrech muscles ili zirudi kwenye hali ya kawaida..kama hufanyi hivyo utapata ulemavu wa mgongo kama ule walionao wabeba vyuma vizito/mabaunsa..nadhani unawaona walivyo..hicho ndio anachokiongelea mtoa hoja.
Mkuu huwaoni wanavyotembea wakiwa mgongo umepinda?hivi ile ni hali ya kawaida?Ulemavu gani wanao watu wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vyuma vizito?
Pushups zinafanya mgongo unyooke vizuri.Labda kama hazifanyiki vizuri, mpigaji push up anakosea kukaa,
Vinginevyo napingana na hawa wataalam.
Yaani push up ikafanye mgongo upinde kama ........ Sio kweli.
Sidhani kama unajua unachokiongelea wewe!Mkuu huwaoni wanavyotembea wakiwa mgongo umepinda?hivi ile ni hali ya kawaida?
Wamesema kufanya hizo sets hapo hadi kuzidi 200 ni tatizo?Suala ni usahihi katika kufanya zoezi la push up tatizo la kubadilika shape ya uti wa mgongo ni kutokana na namna unavotekeleza zoezi lenyewe...
Kuna app ya HOME WORK OUT ukifata hii app maelekezo yake ni mazuri na hakuna athari yoyote endapo tu utafanya kifasaha
huwa napiga 300 kila siku, siku nikiwa nipo kwenye mood sana napiga 300+ na siku nyingine nikiwa sipo kwenye mood kama leo nimepiga 200 tu. Siku hizi najitahidi nafanya na squart kidogo.We unapiga ngapi kwa siku?
Aisee,safi uko vizurihuwa napiga 300 kila siku, siku nikiwa nipo kwenye mood sana napiga 300+ na siku nyingine nikiwa sipo kwenye mood kama leo nimepiga 200 tu. Siku hizi najitahidi nafanya na squart kidogo.
kuna kipindi nilikua napiga asubuhi na jioni, asubuhi napiga 100 na jioni napiga 250 au 300, kaka achaa..nilikua pande la jitu.
Alafu ukiwa unakula unashiba vizuri mwili uwe mzito mzito, ma push-ups
yanapasua kifua balaa, sasa sijui ni kwangu tu au na wengine ni hivyo.
napenda push-ups sana nahisi nimeshakuwa addicted siku ikipita sijafanya najihisi hovyo.
nb. natumia push-up pads zile kubwa
wewe huwa unapiga ngapi kwa siku??..Aisee,safi uko vizuri