Push Up 200 kwa Siku ni hatari kwa Afya!!

ila Kuna baadhi ya maeneo hata Kama hujafanya mazoezi utajikuta tu una nguvu, mfano: Wale wanaosubiri matatu( daladala) kutoka mbagala kuelekea k,Koo / gongo la mboto
 
Inawezekana maana Mimi nilikuwa napiga 900 asbh 300 mchana 300 na jioni 300 nikawa kama mdudu lkn sasa spinal inasumbua sana
Hahahahah
Hahahahaha pole mwamba

Push usipokuwa makini nakoz zinatoka

Ukikaa sehem watu wanakuhisi ww ni kitengo maalum
 
Kiafya unatakiwa ufanye mara moja tu kwa siku ili muscles zipate muda wa kurecover....tena ikiwezekana kesho yake unatakiwa upumzike ufanye mazoezi part nyingine ya mwili like squats hivi...na lazima uweke Siku za kupumzka kabisa moja au mbili kwa wiki...
Uko sawa mkuu.

Watu wanajiover doz
 
Mia mbili sio tatizo hata kidogo iwapo utazipiga kwa awamu, inategemea na uwezo wako unaweza kupiga ngapi kabla ya kupumzika.

Kama utaweza kupiga kuanzia hamsini bila kupumzika, mia mbili na hata zaidi ya mbili kiafya sio tatizo hata kidogo. Awamu zako nne mia mbili umeshamaliza.

Kwa wale ambao tunapiga pushapu ikiwa sehemu ya Maisha yetu ya kila siku, mia mbili mbona kidogo kwa siku.

Na hata ukiamua kwenda ishirini na tano, kisha unapumzika kabla ya kwenda awamu nyingine, Mia tatu zinapigika bila wasi
 
Haina shida Ila inatakiwa ukimaliza kupiga hizo push ups lazima ufanye mazoezi ya kustrech muscles ili zirudi kwenye hali ya kawaida..kama hufanyi hivyo utapata ulemavu wa mgongo kama ule walionao wabeba vyuma vizito/mabaunsa..nadhani unawaona walivyo..hicho ndio anachokiongelea mtoa hoja.
 
Haina shida Ila inatakiwa ukimaliza kupiga hizo push ups lazima ufanye mazoezi ya kustrech muscles ili zirudi kwenye hali ya kawaida..kama hufanyi hivyo utapata ulemavu wa mgongo kama ule walionao wabeba vyuma vizito/mabaunsa..nadhani unawaona walivyo..hicho ndio anachokiongelea mtoa hoja.
Ulemavu gani wanao watu wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vyuma vizito?
 
Labda kama hazifanyiki vizuri, mpigaji push up anakosea kukaa,

Vinginevyo napingana na hawa wataalam.

Yaani push up ikafanye mgongo upinde kama ........ Sio kweli.
Pushups zinafanya mgongo unyooke vizuri.
 
Mkuu huwaoni wanavyotembea wakiwa mgongo umepinda?hivi ile ni hali ya kawaida?
Sidhani kama unajua unachokiongelea wewe!

Hujui chochote kuhusu stretching. Hujui hata madhumuni yake.

Ili kudhihirisha ujinga ulionao, umewaita ‘mabaunsa’.

Unajua maana ya neno ‘baunsa/ bouncer’ kweli wewe?

Ulichonacho ni ufahamu wa kienyeji tu ambao umejaa upotofu mtupu!!!
 
Suala ni usahihi katika kufanya zoezi la push up tatizo la kubadilika shape ya uti wa mgongo ni kutokana na namna unavotekeleza zoezi lenyewe...

Kuna app ya HOME WORK OUT ukifata hii app maelekezo yake ni mazuri na hakuna athari yoyote endapo tu utafanya kifasaha
 

Attachments

  • Screenshot_20201122-105037.png
    Screenshot_20201122-105037.png
    79.9 KB · Views: 13
Suala ni usahihi katika kufanya zoezi la push up tatizo la kubadilika shape ya uti wa mgongo ni kutokana na namna unavotekeleza zoezi lenyewe...

Kuna app ya HOME WORK OUT ukifata hii app maelekezo yake ni mazuri na hakuna athari yoyote endapo tu utafanya kifasaha
Wamesema kufanya hizo sets hapo hadi kuzidi 200 ni tatizo?
Au mweka app. Mtandaoni atakuwa anajua zaidi?
 
We unapiga ngapi kwa siku?
huwa napiga 300 kila siku, siku nikiwa nipo kwenye mood sana napiga 300+ na siku nyingine nikiwa sipo kwenye mood kama leo nimepiga 200 tu. Siku hizi najitahidi nafanya na squart kidogo.

kuna kipindi nilikua napiga asubuhi na jioni, asubuhi napiga 100 na jioni napiga 250 au 300, kaka achaa..nilikua pande la jitu.

Alafu ukiwa unakula unashiba vizuri mwili uwe mzito mzito, ma push-ups
yanapasua kifua balaa, sasa sijui ni kwangu tu au na wengine ni hivyo.

napenda push-ups sana nahisi nimeshakuwa addicted siku ikipita sijafanya najihisi hovyo.

nb. natumia push-up pads zile kubwa
 
huwa napiga 300 kila siku, siku nikiwa nipo kwenye mood sana napiga 300+ na siku nyingine nikiwa sipo kwenye mood kama leo nimepiga 200 tu. Siku hizi najitahidi nafanya na squart kidogo.

kuna kipindi nilikua napiga asubuhi na jioni, asubuhi napiga 100 na jioni napiga 250 au 300, kaka achaa..nilikua pande la jitu.

Alafu ukiwa unakula unashiba vizuri mwili uwe mzito mzito, ma push-ups
yanapasua kifua balaa, sasa sijui ni kwangu tu au na wengine ni hivyo.

napenda push-ups sana nahisi nimeshakuwa addicted siku ikipita sijafanya najihisi hovyo.

nb. natumia push-up pads zile kubwa
Aisee,safi uko vizuri
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Back
Top Bottom