Wakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee

Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.

Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.

Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.

Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.

Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Arudi afuate nini na wewe huwezi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nyeto Haina madhara yoyote. Shida ni kwamba umeathirika kisaikolojia na unaonekana unaangalia Sana pornography. Tiba yake ni moja tuu kunywa maji mengi, lala Sana, kula matunda na mbogamboga, fanya Sana zoezi, usiangalie pornography na uache nyeto na usile mbususu kwa muda wa miezi 6. Thank me later!
Asile mbususu miezi 6??
 
Ni mwanamke yupi anayechukia anapobembelezwa au kuombwa msamaha?
Mbembeleze, Muombe msamaha atakuelewa na atakuja tena.

Kabla ya kumuita tena jiandae kisaikolojia kwa tendo la ngono usiwe na hofu wala dhaifu kiafya.

Kwa suala la kuacha punyeto , Uwe unapata mwanamke walau mara 1 au mara 2 kila wiki, Halafu tumia karafuu ilochemshwa ndani ya glasi moja ya maji asubuhi, mchana na jioni ndani siku 10 utaona mabadiliko ya uimara wa uume.

Kuna mti au majani ni machungu si sana kule KAGERA wanayaita KASINDANO au WETEME/KAWETEME huwa yanatibu CHANGO, MICHANGO, na MAGONJWA mengine ya TUMBO lakini zaidi sana yanaboresha "uume kusimama" na "kuwa imara",

Majani hayo yanafanana kidogo na dawa/mmea huitwao MSHUNSHU kwa mbali.
Yanatumika kwa kupondwa na kisha kulowekwa ndani ya maji kwa masaa 4-8, Baada ya hapo unakunywa Glasi 1 asubuhi, 1 mchana, na 1 Jioni kwa muda wa siku 3 na uhakikishe kila siku unaloweka mapya.

Kama tatizo ni sugu sana unaweza tumia kwa siku 7 mpaka 10.
 
Iyo kwa lugha nyingine tunasema kuwa bendera imepepea nusu mlingoti. Pole sana jamaa .
 
Wakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee

Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.

Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.

Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.

Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.

Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Sasa hapa ndio utaanza kuona madhara halisi ya punyeto,hili tukio litakuharjbu zaidi ya hiyo punyeto.

Pinyeto nii zoezi la uume haiwezekani uume ukose nguvu kwa sababu ua zoezi

Shida ni kuwa unapiga sana punyeto huku unaangalia porn,hqpo ndio shiida ilipo,hakuna mpiga pinyeto mwenye smartphone alafu asiangalie xxx,hapo ndipo mnajiuaa wazeee
 
Aka kamchezo kakishetan sana mm ninamiez 5 cjagusa kbs Ila Jana nimekaa kimasihara nikaw naangalia wanawake wa insta wakikata mauno na vyupi vyao nikajikuta nimepiga tatu chap chap mungu anisaidie kijana wa watu tu Leo nisije piga maana kuna kitu kinanishaur piga mbili za mwisho Leo usiku
wee jamaa umenifurahisha sanaaa daah!
 
Huu utafiti usio rasmi hivyo nisidaiwe data zozote.

Utafiti huu unasema kwamba 40% ya vijana walioko JF waliingia kwa sababu ya kutafuta njia za kujinasua kutokana na kujichua sasa wakisearch wanakutana na maoni ya JF wakawa wanavutika nayo na kushawishika kusoma zaidi.

Wengine wakitafuta namna ya kujitoa kwenye majanga ya ajabu ajabu.

Kimsingi vijana wengi wameijua JF kwa sababu ya kutafuta njia za kujinasua katika raibu zao mbalimbali walizokuwa wakizifanya.

Hii ni kwa sababu watu wengi ambao wamekuwa wakiomba ushauri juu ya kuwacha mambo fulani utakuta hizo threat walizotoa ndio za mwanzo tokea wawe na Na ID hapa jf,hii ni ishara kwamba walikuja hapa na msukumo huo.
 
Hakuna Mpiga Nyeto anaejutia uamuzi. Matatizo mnayo nyie mengine kabisa. Hayo:

F283F963-C70A-4040-A66D-CB178C1B94EE.png
 
Kwa logic hio 40% ya wana JF ni wapiga Nyeto????
Anyway nilimiss sanaa JF...

Nakubaliana na mwamba hapo juu, Punyeto haina madhara kiasi hicho, ni matatizo binafsi, tusiijengee chuki, inaokoa vijana wengi pia..
 

Similar Discussions

24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom