ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,086
- 42,891
Sababu iliyonifanya nijiunge na kifurushi Cha hatukomi kutoka CHAPUTA ilikuwa Ni kupunguza shahawa ambazo niliamini kuwa ndizo zinasababisha nitokewe na chunusi usoni.na kwa kuwa sikuwa na access ya demu ikanibidi niangalie njia mbadala ya kupunguza haya maprotini mwilini.nikapiga puli Zaid ya mwaka Sikuona chunusi kuisha.kwa hiyo nawashauri ndugu zangu mnaopiga punyeto kwa sababu Kama yangu kuwa muache tu kwani sio kweli hamna kitu Kama hicho.labda Kama mko na sababu nyingine tofauti na ya kwangu.