Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Uko ndiko kuchapa kazi anakotwambia Songoro?
Lakini si kila mtu ana uwezo wa kuipa (sorry kuchapa kazi) Mwalimu atachapa kazi kivipi, auze chaki ambazo hafiki zenyewe shuleni? daktari awatoze wagonjwa rushwa ili wapate matibabu? nesi hasiwachome sindano wagonjwa na kuwaosha vidonda mpaka apate chochote? Kweli kuchapa kazi kunawezekana kwa Polisi kwenye viwanja vya ndege ili watu wenye unga wapite kirahisi, Hakimu na judge, watu wa fedha na procurement, watu wa kutengeneza mikataba na wawekezaji, hao wanaweza kucha kazi[
QUOTE=Chintu;9803410]...Kweli mkuu tuache kulalamika. Hebu ona Ridhiwani alivotoka fasta baada ya kuanza "biashara" mzee alipoingia ikulu. Angalia Chenge alivotoka baada ya kutununulia RADA ya kutuangalizia ndege mbinguni. Na sasa kuna ESCROW - hapo jamaa wasipotoka tutashangaa![/QUOTE]
 
Chapeni kazi acheni kulia lia, kuna vyama vingi sana vya upinzani viliingia madarakan katika bara la Afrika ukianzia, kenya, burundi, zambia, nigeria, algeria,ghana,n.k lakin maisha ni yale yale , hiko chama chenu kina kitu gan so special kias kwamba kikiingia kitatofautiana na vyama vingine vilivowah kushika dola. Punguzen kulalamika pigen mzigo mbona wengi tu tumeyatoa maisha ndan ya tawala hii hii, mzee ndesa, mbowe na kina mtei mbona wamefanikiwa chin ya sera hizi hizi za CCM!

Hao uliowataja ni wafanyakazi au unga wa Taliban unakuzingua.
 
Wabunge na eakubwa hawataki kubadilisha mfumo huu .
Kodi ya paye ingeweza kusaidia sana wafanyakazi wa chini kwa kuweka kiwango kidicho tollezwa kodi kianzie mfano 500,000.na kila apataye juu laki tano ile ziada ikatwe kodi ya hata 15 %
Hivyo utaina wengi wangepata net income ya laki tano ingesaidia. Na wale wapatao vitita watozwe kodi kwani salary zao mi kubwa.
Haya mambo ya kodi kama ukipata serikali makini basi kodi za biashara zote zingekuwa ni 6% inayosha.
Kama unaduka kiwanda madini una import unaexport.
Na raw material 5% inatosha. Madini tunge wacharge 5 ya mauzo tu basi kodi kubwa tungepata.
Leo tunaagiza gari ushuru mpaka 75% hata wale toyota watengenezaji hawapti faida hii. Huu ni wizi na dhulma.
Ukicharge tax ndogo bidha zitakua rahisi sana na viwanda vyetu vitsuza kwa bei nzuri.
Kitu kkinhune ni kuwawezesha wa tz ili tuwe na tax base isio pungua 10m
Hii ni wafanyakazi bishara wakkulima na machinga.
Leo tax base hui ys watu 10m ya kila Mtz wakilipa kodi ya 100000 kwa mwaka basi tungekusanya tshs 1,000,000,000,000
Hii ni trilion moja.
Naamini ukiweka kodi ndogo kila mtu angekipa .
Bidha zetu zingekuwa competitive zingeuzika nje.
Madini tungepiga ban watu wa nje kuchimba.
Local wangepewa access hata kama hawwana vifaa vya kukomba .
Wangewekewa masharti fedha yote ys export irudi tz leo fedha yetu isengeanguka na tungekua na fedha nyingi za kugeni.
Pia wangewekewa masharti ya kuwekeza ndani ya nchi katika sehemu za utalii na viwanda from utajiri wao.
Tungekua mbali
 
naona serikali ya magamba bado wanaendelea kucheza na akili za watanzania. bajeti hii ya sasa imelenga kuwabeba mafisadi na kuwakaanga raia wasiokuwa na hatia.

tutegemee wanyonge kuendelea kukaangika zaidi kufuatia kupanda kwa kodi za petroli, mafuta ya taa na dizeli. suluhisho la kudumu kwa matatizo ya watanzania ni kuutupilia mbali huu utawala wa kifisadi ifikapo oktoba mwezi huu.

bajeti hii ya mwaka huu itazidi kumkandamiza mfanyakazi na kumfanya aishi maisha ya kuhudhunisha na kusikitisha zaidi tangu nchi hii ipate uhuru kutoka kwa wakoloni weupe. utawala wa mkoloni mweusi (CCM) umewafanya wananchi wawe masikini na kutaabika zaidi ya ilivyokuwa enzi za mkoloni mamboleo.
 
Tulishasema iwe single digit ndio tutatambua serikali inatujali. tofauti na hapo hakuna kitu kabisa na ni utapeli wa hali ya juu huu wa serikali ya ccm
 
Tulishasema iwe single digit ndio tutatambua serikali inatujali. tofauti na hapo hakuna kitu kabisa na ni utapeli wa hali ya juu huu wa serikali ya ccm

mkuu, hata iwe single digit wakati bado bei ya petroli na mafuta ya taa ipo juu, maisha ya wafanyakazi na watanzania yatazidi kuwa magumu tu!
 
Again n again wameendelea kuwadhihaki wafanyakazi: Kodi kwenye Mafuta Juu, Shilingi imeendelea kushuka Thamani halafu wanawadanganya kama mazuzu eti PAYEE imeshuka kwa 1% ... Only in Tanzania ...
 
Yaani wafanya kazi ni wahanga kwa serikali hii...imagine eti PAYE inashushwa kwa 1%...from 12% ==> 11%.... huku maisha yamepanda ( Inflation ) kwa more than 20% baada ya dollar kupanda kwa kasi ya ajabu...!!! Hii ina maana mfanyakazi wa serikali ataumia kupita maelezo, hakuna unafuu kabisa...ila serikali inapika data kuonyesha maisha hayajapanda...!!! Wafanya kazi mjiandae kwa dhiki kuu...!!!
 
Tatizo wanasiasa wengi hawako reality wanashindwa kuwaeleza ukweli watanzania iyo 12% wanayosema ni kwa wafanyakazi wanaolipwa kuanzia 170,001 - 360,000 ila inakua calculated baada ya kutoa social fund contribution i.e lapf,nssf e.t.c then kuna fixed tax 22,800 plus 12% ya excess amount kutoka 170,000 ila ikiwa gross salary yako ni above 360,000 kuna percentage zake ambazo ni 20%,25% na 30% kama gross salary yako ni above 720,000 same procedure as before described. Wanasiasa inabidi wawe reality na sio kudaanganya watanzania hasa waajiliwa mana naamini ndo wanaolipa kudi kubwa kwa mwezi kuliko ata wafanyabiashara.
 
Yaani wafanya kazi ni wahanga kwa serikali hii...imagine eti PAYE inashushwa kwa 1%...from 12% ==> 11%.... huku maisha yamepanda ( Inflation ) kwa more than 20% baada ya dollar kupanda kwa kasi ya ajabu...!!! Hii ina maana mfanyakazi wa serikali ataumia kupita maelezo, hakuna unafuu kabisa...ila serikali inapika data kuonyesha maisha hayajapanda...!!! Wafanya kazi mjiandae kwa dhiki kuu...!!!

Mkuu ata hiyo inapotoshwa tu kuna hadi 30%
 
Tatizo wanasiasa wengi hawako reality wanashindwa kuwaeleza ukweli watanzania iyo 12% wanayosema ni kwa wafanyakazi wanaolipwa kuanzia 170,001 - 360,000 ila inakua calculated baada ya kutoa social fund contribution i.e lapf,nssf e.t.c then kuna fixed tax 22,800 plus 12% ya excess amount kutoka 170,000 ila ikiwa gross salary yako ni above 360,000 kuna percentage zake ambazo ni 20%,25% na 30% kama gross salary yako ni above 720,000 same procedure as before described. Wanasiasa inabidi wawe reality na sio kudaanganya watanzania hasa waajiliwa mana naamini ndo wanaolipa kudi kubwa kwa mwezi kuliko ata wafanyabiashara.

Kodi ya asilimia 30 ni ndogo sana, watu tunalipa kodi asilmia zaidi ya 40, itakuwa hiyo 30?simamia kodi yako ifanye mambo ya msingi. Hakikisha unafahamu mchanganuo wa kodi unayolipa inatumia vipi kwa asilimia. Usiweke walafi kusimamia kodi yako. Lakini Kodi lazima ulipe. kama hutaki kulipa kodi, hakuna haja ya kupiga makelele humu ndani kudai barabara nzuri, huduma bora za afya n.k.

Hizo nchi unazoona wana barabara nzuri ni walipaji wa kodi wazuri sana, na hawalalamiki kulipa kodi, wanalalamika kodi zao zikichezewa hovyo, na ni wakali kweli kweli, hakuna mwanasiasa anayefanya ujinga kwenye kodi za wananchi.

Watanzania tubadilike.
 
Mi nimechoka kabisa.
Hii serikali ki ukweli imeshatuona sisi mazombie kabisa, na inatuona sisi empty brains kabisa.
aiafikie wakati tusems hapana. This is too much kwa kweli. Yaani wanatudanganya mshara umepanda,na kodi imepuinguzwa, ukija kwenye manunuzi sukari ju, mafuta juu, umeme juu, ukija kuangalia ni WORSE THAN BEFORE.
kwa kweli NIMECHOOKA KABISA
 
Again n again wameendelea kuwadhihaki wafanyakazi: Kodi kwenye Mafuta Juu, Shilingi imeendelea kushuka Thamani halafu wanawadanganya kama mazuzu eti PAYEE imeshuka kwa 1% ... Only in Tanzania ...
Sio kweli, nchi nyengine income tax zinaongezeka kufidia programs za serikali, na wanaongeza umri wa pension kila baada ya miaka 5,hivyo unalipa kodi kwa miaka mingi zaidi kadri muda unavyokwenda.

Cha kufanya ni kuhakikisha wigo wa walipa kodi unaongezeka. Siku ukinunua bidhaa kariakoo, halafu ukaacha kuchukua risiti ili usilipe VAT jua kuwa hujifaidishi wewe, bali unajiumiza, kwani kadri wafanyabiashara wanavyolipa kodi kiduchu ndio mzigo wako wa kodi unavyoongezeka.
 
Serikali yoyote duniani iliyokaa madarakani muda mrefu lazima iwe na kibri,jeuri na ubabe wa maamuzi.Hakuna anaye kataa kukatwa kodi katika mishahara,Tatizo ni je inakatwa kiasi gani?Na je mazingira ya kiuchumi yanaenda sambamba na pato la mfanyakazi? Tunashuhudia kila siku mfumuko wa bei,dolla inapanda shilling inashuka,mafuta disel na petrol inapanda lakini mshahara uko palepale,maoni yanapuuzwa wachache wanaamua wanavyotaka kwa mustakabali wa Taifa Zima....Naamini yote yanawezekana tukiamka hapa tulipo fikishwa sasa....
 
hii serikali ya wapenda sifa imeanza vibaya sana. ni bora wangepandisha mshahara kwa 1% kuliko kupunguza PAYE kwa kiasi kidogo hiki. punguzo hili halina manufaa yoyote kwa wafanyakazi wanaokandamizwa na serikali kwa muda mrefu sasa. huu ni uhuni.
 
Back
Top Bottom