Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Katika makadirio ya serikali ya mwaka 2009/2010 serikali ilishusha kiwango cha kodi ya ongezeko la thamani toka 20% hadi 18%.
Mimi binafsi sehemu niliyopanga mkataba wa upangishaji unasema kodi ya ofisi inajumuisha kodi ya ongezeko la thamani hivyo pamoja na kiwango cha kodi kupungua, kodi yangu ya mwezi haikupungua.
Swali, kuna bidhaa yoyote iliyopunguzwa bei kutokana na kiwango cha kodi ya ongezeko la thamani kupunguzwa na serikali?
Mimi binafsi sehemu niliyopanga mkataba wa upangishaji unasema kodi ya ofisi inajumuisha kodi ya ongezeko la thamani hivyo pamoja na kiwango cha kodi kupungua, kodi yangu ya mwezi haikupungua.
Swali, kuna bidhaa yoyote iliyopunguzwa bei kutokana na kiwango cha kodi ya ongezeko la thamani kupunguzwa na serikali?