Punguzo la kodi ya ongezeko la thamani toka 20% kuwa 18% walajali tumenufaika?

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,269
4,569
Katika makadirio ya serikali ya mwaka 2009/2010 serikali ilishusha kiwango cha kodi ya ongezeko la thamani toka 20% hadi 18%.

Mimi binafsi sehemu niliyopanga mkataba wa upangishaji unasema kodi ya ofisi inajumuisha kodi ya ongezeko la thamani hivyo pamoja na kiwango cha kodi kupungua, kodi yangu ya mwezi haikupungua.

Swali, kuna bidhaa yoyote iliyopunguzwa bei kutokana na kiwango cha kodi ya ongezeko la thamani kupunguzwa na serikali?
 
Ni jambo ambalo nimekuwa nikiliwaza hata mie; mathalani tunahusianishaje punguzo hilo na bei za vitu madukanai na tunapimaje impact ya punguzo kwa hizo bidhaa? bei zinadi kupanda na binafsi sioni kama mtu wa kawaida ananufaika.
 
Back
Top Bottom