Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 48,851
- 18,951
Nikweli kila mtu atakuja na yake
lakini leo si mbaya mabinti sasa mnapoelekea ni pabaya na mbaya zaidi hadi watoto wa shule wamekuwa wakivaa nguo za aibu na matokeo yake wanaingia na vimini makanisan misikitini na huku wachunga wakiwaangalia
Wewe unaacha nyumba yako wazi unakuta mwizi alafu unamuuliza katokea wapi badala ya kujiuliza ameingiaje embu leo hii nenda tubu mwambie mungu nilikukosea lakini sasa kutamanisha wanaume basi...Mungu atakusamehe kwa yote..tuvvae nguo za heshima na si kuonekana na mh fulan ama mjini lazima nirudi na kiasi kadhaa cha mapredeshe wee uliza mapredeshee wangapi wamevuma sana na wengine frm uk walikuja na kasi wakishia kuzalilisha familia...utakufa nasema hata kama umekukwaa usiwaangamize wenzio kihivyo .....
Ahsante kwa kufwata yaliojuu
lakini leo si mbaya mabinti sasa mnapoelekea ni pabaya na mbaya zaidi hadi watoto wa shule wamekuwa wakivaa nguo za aibu na matokeo yake wanaingia na vimini makanisan misikitini na huku wachunga wakiwaangalia
Wewe unaacha nyumba yako wazi unakuta mwizi alafu unamuuliza katokea wapi badala ya kujiuliza ameingiaje embu leo hii nenda tubu mwambie mungu nilikukosea lakini sasa kutamanisha wanaume basi...Mungu atakusamehe kwa yote..tuvvae nguo za heshima na si kuonekana na mh fulan ama mjini lazima nirudi na kiasi kadhaa cha mapredeshe wee uliza mapredeshee wangapi wamevuma sana na wengine frm uk walikuja na kasi wakishia kuzalilisha familia...utakufa nasema hata kama umekukwaa usiwaangamize wenzio kihivyo .....
Ahsante kwa kufwata yaliojuu