Pumzika kwa amani Plasidia Rugalema

Alimhoji mtu mpaka akafa kwa press na alipokufa ina maana hukujali alijiona mjanja kumbana mtu mpaka umauti. Na mungu nae kambana watakutana huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan kuna kazi nyingine ukizifikiria utendaji wake unasikitisha Sana, kadiri unavotakiwa kuwajibika kazini ndipo unazidi kuingiza wenzio matatizoni,na lawama katika jamii, eg mahakimu n.k

Fact ni kuwa maisha yangekuwa ni forever hapo ingekuwa Sawa kufanya kazi hizo, lakini ukifikiria magonjwa na kifo ambacho ni constant kwa binadamu yeyote, unaona Hakuna hata faida ya kuwa na kiburi kwa binadamu wenzako.

Like the lady alidhani alifanya jambo la busara na kishujaa kumhoji mtu hadi anapoteza maisha kwa presha, alicho pitia yeye huenda kikawa kifo Cha mateso kuliko mwenzake, na bado alilaumiwa wakati aliyemhoji anapoteza maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P, umesema aliwahi kumuhoji mtuhumiwa hadi mtuhumiwa akafa kwa pressure!!!! Inafikirisha hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
ilo ni kweli kuna afande namfahamu amesha muhoji mtuhumiwa hivi hivi akakata moto

tangu hapo jamaa kabla ya kumuhoji mtuhumiwa huwa anawatafuta ndugu zake washughulike dhamana maana anasema huwa wanapata presha wakirudishwa sero wanakata moto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom