Angekua anatumika na serikali yoyote ile angejua sana kiswahili vizuri tena mpaka na kizaramo..maana ngekua mtu wa kujichanganya ili apate anachotakaSina hakika. Sikuwahi kumsikia akizungumza sentensi ndefu za Kiswahili. Hata hivyo, kuna jumuiya kubwa tu ya wasioizungumza hii lugha hapa Tanzania. Huenda waliomzunguka walipenda zaidi kuzungumza naye kwa Kiingereza na hivyo mawasiliano na watu wake wa karibu ikawa si shaka. Kama Kiswahili n
Amefia wapi na taratibu nyingine za mazishi zikojeAndiko ni langu. Ahsante sana kwa kuona hivyo.
Amefia mjini Dar. Taratibu na siku ya kumhifadhi sijajua. Kuna ndugu hapo juu alisema mazishi ni leo Jumanne.Amefia wapi na taratibu nyingine za mazishi zikoje
We huna ujualo mlokole uchwara tu kwani JAH!?? ni naniNatoa pole kwa wafiwa, natamani kabla hajafa angemkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake, kwasababu kufa bila Kristo ni hasara ya maisha. Rastafari wanaamini Haile Selasie yule muethiopia waliyemuassasinate ndio kristo wao/masihi wao, they don't believe in the God of Ibrahim Isaac and Jacobo. Mungu atusaidie wanadamu. kama kuna rasta yeyote humu ndani, jipambanue na uchukue hatua.
MmmhhhMara nyingi ukimsalimia kwa Kiswahili atakujibu "salama kaka" kisha fasta anakurudisha katika kilugha chake yaani hata kama ulikuwa unajaribu kumkazia muendelee kuchonga kiswahili lazima akuchomoke. Ni wazi hakuwa comfortable na Kiswahili.