Pumzika kwa amani Bibi bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Habari za wakati huu wanajamvi.
.
Nimefiwa na bibi yangu mzaa baba siku ya leo ambaye makazi yake ni mkoani mwanza mtaa wa mkuyuni kata ya butimba .
NENDA SALAMA BIBI NAYAKUMBUKA MANENO YAKO SANA KUWA NIJE NIKUONE LA SIVYO NITAKUONA UKIWA UMEZIMA, NISAMEHE BIBI.
Dah, pole Sana aiseeeee ila wewe ni kigego, yaani hadi Bibi anakusihi ukamuone na hujaenda kumuona hadi Amepumzika ndio Unajifanya kuwa na Uchungu! Umekosa baraka aiseee, ulikua busy kiasi cha kushindwa kabisa kwenda? Lakini angekua Demu anakuita hata Kama yuko wapi ungekopa nauli na kazini ukasingizia msiba au ugonjwa! Dah Umeniangusha saana!

Mimi sina Wazazi kwa sasa ila nawashauri nyie Wenye Wazazi au Walezi, jifunzeni kuwapenda kwa Vitendo sio kwa maneno maana siku hawapo mtawakumbuka saana.

Sasa Unaweza kukuta Huyu kalelewa na Bibi yake kwa shida Leo hii hakwenda kumuona hadi Amepumzika!

Pole Sana aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa comment yako mkuu, ubarikiwe sana
Dah, pole Sana aiseeeee ila wewe ni kigego, yaani hadi Bibi anakusihi ukamuone na hujaenda kumuona hadi Amepumzika ndio Unajifanya kuwa na Uchungu! Umekosa baraka aiseee, ulikua busy kiasi cha kushindwa kabisa kwenda? Lakini angekua Demu anakuita hata Kama yuko wapi ungekopa nauli na kazini ukasingizia msiba au ugonjwa! Dah Umeniangusha saana!

Mimi sina Wazazi kwa sasa ila nawashauri nyie Wenye Wazazi au Walezi, jifunzeni kuwapenda kwa Vitendo sio kwa maneno maana siku hawapo mtawakumbuka saana.

Sasa Unaweza kukuta Huyu kalelewa na Bibi yake kwa shida Leo hii hakwenda kumuona hadi Amepumzika!

Pole Sana aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, pole Sana aiseeeee ila wewe ni kigego, yaani hadi Bibi anakusihi ukamuone na hujaenda kumuona hadi Amepumzika ndio Unajifanya kuwa na Uchungu! Umekosa baraka aiseee, ulikua busy kiasi cha kushindwa kabisa kwenda? Lakini angekua Demu anakuita hata Kama yuko wapi ungekopa nauli na kazini ukasingizia msiba au ugonjwa! Dah Umeniangusha saana!

Mimi sina Wazazi kwa sasa ila nawashauri nyie Wenye Wazazi au Walezi, jifunzeni kuwapenda kwa Vitendo sio kwa maneno maana siku hawapo mtawakumbuka saana.

Sasa Unaweza kukuta Huyu kalelewa na Bibi yake kwa shida Leo hii hakwenda kumuona hadi Amepumzika!

Pole Sana aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Elli, umeongea maneno kuntu sana. Na umeongea kwa hisia kali.

Vijana wengi tunakosea sana hapa.
Utakuta tunawapenda wazazi na walezi wetu kwa maneno au wakati hatuna kitu.

Ila tukishakuwa mbali nao tunasahau kuwa hata kwenda kuwaona tu ni moja ya upendo na zawadi kubwa kwao na pia wanafarijika mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, pole Sana aiseeeee ila wewe ni kigego, yaani hadi Bibi anakusihi ukamuone na hujaenda kumuona hadi Amepumzika ndio Unajifanya kuwa na Uchungu! Umekosa baraka aiseee, ulikua busy kiasi cha kushindwa kabisa kwenda? Lakini angekua Demu anakuita hata Kama yuko wapi ungekopa nauli na kazini ukasingizia msiba au ugonjwa! Dah Umeniangusha saana!

Mimi sina Wazazi kwa sasa ila nawashauri nyie Wenye Wazazi au Walezi, jifunzeni kuwapenda kwa Vitendo sio kwa maneno maana siku hawapo mtawakumbuka saana.

Sasa Unaweza kukuta Huyu kalelewa na Bibi yake kwa shida Leo hii hakwenda kumuona hadi Amepumzika!

Pole Sana aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpwa, Mzazi hata akiwa kichaa! Mpende tu, kuna watu wanatafuta hawana mtu wa kumuita Mama au Baba!

Nilienda home siku hio, Nyumba iko tupu, ni makaburi yamebaki tu! Hakuna furaha ya kwenda likizo Tena..... Dah naomba tuishie hapa!
Elli, umeongea maneno kuntu sana. Na umeongea kwa hisia kali.

Vijana wengi tunakosea sana hapa.
Utakuta tunawapenda wazazi na walezi wetu kwa maneno au wakati hatuna kitu.

Ila tukishakuwa mbali nao tunasahau kuwa hata kwenda kuwaona tu ni moja ya upendo na zawadi kubwa kwao na pia wanafarijika mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibi pumzika kwa amani

Ila bibi kijana wako jana alikua anataka picha za Marehemu Ruge akiwa kwenye jeneza huku akisema mwili utakua na tatizo kisa wapiga picha hawajaruhusiwa kuufotoa,je leo huyu mjukuuu wako atatuletea picha laivu?


Bibi tumeshamsamehe kijana wako ila siku nyingine asilete dhihaka kwenye misiba ya watu.

Duniani tunapita tu
 
Nenda kwenye msiba acha ulofa!
Habari za wakati huu wanajamvi.
.
Nimefiwa na bibi yangu mzaa baba siku ya leo ambaye makazi yake ni mkoani Mwanza mtaa wa Mkuyuni kata ya Butimba .

NENDA SALAMA BIBI NAYAKUMBUKA MANENO YAKO SANA KUWA NIJE NIKUONE LA SIVYO NITAKUONA UKIWA UMEZIMA, NISAMEHE BIBI.

Sent by Diaspora
 
Dah, pole Sana aiseeeee ila wewe ni kigego, yaani hadi Bibi anakusihi ukamuone na hujaenda kumuona hadi Amepumzika ndio Unajifanya kuwa na Uchungu! Umekosa baraka aiseee, ulikua busy kiasi cha kushindwa kabisa kwenda? Lakini angekua Demu anakuita hata Kama yuko wapi ungekopa nauli na kazini ukasingizia msiba au ugonjwa! Dah Umeniangusha saana!

Mimi sina Wazazi kwa sasa ila nawashauri nyie Wenye Wazazi au Walezi, jifunzeni kuwapenda kwa Vitendo sio kwa maneno maana siku hawapo mtawakumbuka saana.

Sasa Unaweza kukuta Huyu kalelewa na Bibi yake kwa shida Leo hii hakwenda kumuona hadi Amepumzika!

Pole Sana aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni bibi..
Labda angekuwa ni ..." bibie "..angefika speed kali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom