KAMINYINGE
Member
- Mar 8, 2013
- 64
- 7
Habari za kaz wakuu! Hali hii imenitokea leo asubuh kama saa3 hivi nilikuwa na kabaiskeli kakamongo nimepanda mlima kidogo tu nikaona pumzi inakata kifua kizito,kukosa nguvu nikapumnzika kando na kuendele na safar kwa tabu sana hapa nn tatizo? msada