Pumba Dar es Salaam inapatikana wapi

Win

Member
Feb 3, 2012
33
13
Habari wadau.
Natafuta kununua pumba za mahindi kama magunia 50 kwa bei ya jumla. Naomba mnielekeze viwanda hapa dar ea salaam, napoweza kupata kwa haraka. Asanteni
 
Ninayo niko manzese gunia 17000

Habari wadau.
Natafuta kununua pumba za mahindi kama magunia 50 kwa bei ya jumla. Naomba mnielekeze viwanda hapa dar ea salaam, napoweza kupata kwa haraka. Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom