wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Hata akizikwa bila vitu Vya thamani hawawez kumbaka marehemu kama lengo ni kubaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa bana teh teh tehKiafya kuna umuhimu wa kuleta muongozo wa Uzikaji kitaifa.Niliwahi kwenda karatu wao huwa wanaweka jeneza halafu wanatupia Zege hadi nusu halafu wanaweka udongo juu....nadhani kwa style hiyo hakuna anayeweza kufukua ingawa ninawaza sana siku ya kupalizwa mbinguni kama itakuwa ni rahisi kufufuliwa kutoka kwenye kaburi la namba hii.
azikwe uchi azikwe na gold kaburi linaweza kufukuliwa tu, so hakuna haja ya kumtahadharisha eti mtu anayezika mpendwa wake na saa ya mkononi kuwa patafukuliwa na kuibiwa kwasababu huyo dada kafukuliwa na hajaibiwa chochote.Logic ipo wapi, kama waliweza kuivua nguo maiti unafikiri kuiba angeshindwa? Sema ni vile hatujui what was the motive behind the evil
Sent using Nokia 6
Hata mm nahisi kama wewe,hilo la kwanza kuliko la uchawi.Usikute jamaa aliwekeana nae ahadi, kwahiyo kaitimiza!!! au mila potofu tuu
Hivi bangi inavutwa na wangapi ? Ni Matukio mangapi ya namna hii yashatokea kwa bangi kuvutwa ?Ni bangi + umasikini