Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Swali/ Hoja hii imejniia baada ya kufatilia Julian Asange wa wikileaks kuhusu taarifa za siri mabalozi wa USA walizokuwa wakiwasilisha kwa serikali yao .
Kuna mtu aliiba au kufanikiwa kuzipata hizo taaarifa. Website ya Wikileaks imefanya kuzichapisha tu.
Assume Julian Asange angekuwa mtanzania yuko tanzania ka publish leaked dcument serikali ya tanzania
Nawasilisha kwa kuelimishwa.
Kuna mtu aliiba au kufanikiwa kuzipata hizo taaarifa. Website ya Wikileaks imefanya kuzichapisha tu.
Assume Julian Asange angekuwa mtanzania yuko tanzania ka publish leaked dcument serikali ya tanzania
- kama wakili wa serikali angeshtakiwa kwa kosa gani . Hukumu yake ni nini. ( it can be more helpful if refer ki/vi fungu vya katiba kama uanvijua eg espionage act,etc)
- Kama wakili wa Asange ungemtetea kwa hoja gani.
Nawasilisha kwa kuelimishwa.