Rose Gabriella
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 603
- 573
Zamani walikuwa wanakaa Yombo Vituka kwa shangazi yakeNusrat mtoto wa kitanga yule
Zamani walikuwa wanakaa Yombo Vituka kwa shangazi yakeNusrat mtoto wa kitanga yule
Nenda Arusha Shivaz wanauza kwa bei poa tuNigawieni na mimi basi bwashee
Kuna watu wanafiki balaa, wakati kilichomo moyoni mwako unakijua mwenyeweKwa uwezo wa Jeshi letu la Polisi, nina uhakika atapatikana akiwa hai
Mbona kama vile wewe ni mnafiki wa NCCR?Kuna watu wanafiki balaa, wakati kilichomo moyoni mwako unakijua mwenyewe
Hapana mimi si mnafikiMbona kama vile wewe ni mnafiki wa NCCR?
Hakuna mnafiki anayeweza kuikubali tabia yake. Ninasomaga sana comments zako hata kabla ya kujiunga rasmi na JFHapana mimi si mnafiki
Wewe ni mpinzani wa CCM na watu wanakujua vizuri sana.Hapana mimi si mnafiki
Kwa taarifa yako mimi sipingi hovyo wala sikubalivyo, ndio maana hata mwaka niliyopiga kura nilichagua diwani chama kingine, mbunge chama kingine na raisi chama kingine, mimi mfuasi wa sera na si vyama,Wewe ni mpinzani wa CCM na watu wanakujua vizuri sana.
Utawadanganya watoto wadogo mkuu. Sisi tunakujua vema humu kupitia comments zako.Kwa taarifa yako mimi sipingi hovyo wala sikubalivyo, ndio maana hata mwaka niliyopiga kura nilichagua diwani chama kingine, mbunge chama kingine na raisi chama kingine, mimi mfuasi wa sera na si vyama,
Duuuh! Embu leta comment yoyote inayoonyesha mimi ni chama fulaniUtawadanganya watoto wadogo mkuu. Sisi tunakujua vema humu kupitia comments zako.
Hivi hiki chama bado kipo tu?Mbona kama vile wewe ni mnafiki wa NCCR?
Unafiki wangu ni upi kwa hapa?Kuna watu wanafiki balaa, wakati kilichomo moyoni mwako unakijua mwenyewe
Nimeuza sana kwenye bar ya dada yangu pale Shivaz miaka ya zamaniNenda Arusha Shivaz wanauza kwa bei poa tu
Mbatia bado ni mwenyekiti wa hiki chama chakavu?Mbona kama vile wewe ni mnafiki wa NCCR?
Bila ndom shivaz ngoma nje njeNenda Arusha Shivaz wanauza kwa bei poa tu
Unafiki wangu ni nini boss?Kuna watu wanafiki balaa, wakati kilichomo moyoni mwako unakijua mwenyewe
Dada yangu upo?2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.