PUBLIC RELATIONS: Waziri Kabudi alikosea kuikana kauli yake juu ya kifo cha Azory

Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiJorums.

Ninajua fika baada ya kuandika thread hii kuna watu watanitukana sana, wengine watasema ninajipendekeza kwa wakubwa, wengine watasema ninatafuta uteuzi, wengine watasema mbona ninajishushia hadhi.

Ila ninachosema mimi ni kuwa sipo hapa jukwaani kwa minadi ya kufurahisha watu. Bali nipo hapa kuongelea ukweli kama ambavyo unapaswa kusemwa.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kukanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.

Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas alimnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."

Lakini Prof Kabudi pia alisema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."

Kabudi alisema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."


USHAURI WANGU WAZIRI KABUDI ANGESEMA MANENO HAYA
=====
Nilichokisema ni kweli kuwa Azory Gwanda alikufa. Azory alikufa ndani ya mawazo, akili na mioyo ya wanaharakati ambao kila uchwao walikuwa wakiisumbua serikali kwa kuihoji juu ya taarifa sahihi za mahali alipo na hatua za upelelezi zilizofikiwa na jeshi letu la Polisi.

Sisi kama serikali tunatambua vema mchango wa makundi haya ya watetezi wa haki za binadamu pamoja na asasi za kiraia katika kutukosoa na kutukumbusha juu ya wajibu wetu kwa jamii ya watanzania iliyotupa dhamana ya kuwaongoza.

Kwa niaba ya waziri wa mambo ya ndani, ninapenda kutoa tena salamu za pole kwa familia ya Azory kwa kupotelewa na mpendwa wao na taarifa kamili juu ya tukio hili zitatolewa pindi upelelezi utakapokuwa umekamilika.

Tunaahidi kuwa tutahakikisha kunaendelea kuwa na mazingira bora, salama na rafiki kwa wanataaluma wote wa tasnia hii ya habari kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi na weledi wa hali ya juu.

=====

Ni bora baba yangu mzee Kabudi angesema maneno haya.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Yaani MATAGA ni kama MALAYER.

Unanunuliwa bia siku moja unaliwa mzigo!!

*Halafu SSM anakuja kukumbushia bia ulizokunywa mwaka juzi na anakula mzigo!

*Yaani unakumbushiwa bia, unaliwa mzigo!

*Unajua kabisa unadanganywa, lakini unatoa uchi.....

*Unatoa uchi sababu nyie ni malayer
 
Yaani MATAGA ni kama MALAYER.

Unanunuliwa bia siku moja unaliwa mzigo!!

*Halafu SSM anakuja kukumbushia bia ulizokunywa mwaka juzi na anakula mzigo!

*Yaani unakumbushiwa bia, unaliwa mzigo!

*Unajua kabisa unadanganywa, lakini unatoa uchi.....

*Unatoa uchi sababu nyie ni malayer
Wewe kamwe hauwezi kunioa kwa maneno haya
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiJorums.

Ninajua fika baada ya kuandika thread hii kuna watu watanitukana sana, wengine watasema ninajipendekeza kwa wakubwa, wengine watasema ninatafuta uteuzi, wengine watasema mbona ninajishushia hadhi.

Ila ninachosema mimi ni kuwa sipo hapa jukwaani kwa minadi ya kufurahisha watu. Bali nipo hapa kuongelea ukweli kama ambavyo unapaswa kusemwa.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kukanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.

Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas alimnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."

Lakini Prof Kabudi pia alisema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."

Kabudi alisema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."


USHAURI WANGU WAZIRI KABUDI ANGESEMA MANENO HAYA
=====
Nilichokisema ni kweli kuwa Azory Gwanda alikufa. Azory alikufa ndani ya mawazo, akili na mioyo ya wanaharakati ambao kila uchwao walikuwa wakiisumbua serikali kwa kuihoji juu ya taarifa sahihi za mahali alipo na hatua za upelelezi zilizofikiwa na jeshi letu la Polisi.

Sisi kama serikali tunatambua vema mchango wa makundi haya ya watetezi wa haki za binadamu pamoja na asasi za kiraia katika kutukosoa na kutukumbusha juu ya wajibu wetu kwa jamii ya watanzania iliyotupa dhamana ya kuwaongoza.

Kwa niaba ya waziri wa mambo ya ndani, ninapenda kutoa tena salamu za pole kwa familia ya Azory kwa kupotelewa na mpendwa wao na taarifa kamili juu ya tukio hili zitatolewa pindi upelelezi utakapokuwa umekamilika.

Tunaahidi kuwa tutahakikisha kunaendelea kuwa na mazingira bora, salama na rafiki kwa wanataaluma wote wa tasnia hii ya habari kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi na weledi wa hali ya juu.

=====

Ni bora baba yangu mzee Kabudi angesema maneno haya.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nimepata bahati ya kumuona na kumsikiliza mahali akihutubia.alikuwa composed na alizungumza mengi mazuri kwa tone nzuri kabisa.
Mahojiano hasa na wanahabari profesional yanatakiwa unayehojiwa uwe mtulivu na uwe mtulivu zaidi hasa ikiwa lugha inayotumika sio lugha yako ya asili.
Kueleeweka vibaya hutokea,kwa wale wazee kama mimi Ukimwi ulipopamba moto walijitokeza mabingwa wengi na kutangaza kugundua dawa,palikuwa na KEMRON Kenya,MM2 Zaire ya Mobutu achilia mbali hawa wa kwetu.Waziri wa Afya alipohojiwa alikanusha kuwepo kwa dawa za kutibu na kusema ni "udanganyifu" lakini kesho yake magazeti yakiingereza yalitumia neno "hoax".Tuhuma zikawa mwanasayansi kudharau dawa za wanasayansi wenzie na kuziita "hoax".
 
Nimepata bahati ya kumuona na kumsikiliza mahali akihutubia.alikuwa composed na alizungumza mengi mazuri kwa tone nzuri kabisa.
Mahojiano hasa na wanahabari profesional yanatakiwa unayehojiwa uwe mtulivu na uwe mtulivu zaidi hasa ikiwa lugha inayotumika sio lugha yako ya asili.
Kueleeweka vibaya hutokea,kwa wale wazee kama mimi
Wazee kama wewe? Shikamoo baba...
 
Nimepata bahati ya kumuona na kumsikiliza mahali akihutubia.alikuwa composed na alizungumza mengi mazuri kwa tone nzuri kabisa.
Mahojiano hasa na wanahabari profesional yanatakiwa unayehojiwa uwe mtulivu na uwe mtulivu zaidi hasa ikiwa lugha inayotumika sio lugha yako ya asili.
Kueleeweka vibaya hutokea,kwa wale wazee kama mimi Ukimwi ulipopamba moto walijitokeza mabingwa wengi na kutangaza kugundua dawa,palikuwa na KEMRON Kenya,MM2 Zaire ya Mobutu achilia mbali hawa wa kwetu.Waziri wa Afya alipohojiwa alikanusha kuwepo kwa dawa za kutibu na kusema ni "udanganyifu" lakini kesho yake magazeti yakiingereza yalitumia neno "hoax".Tuhuma zikawa mwanasayansi kudharau dawa za wanasayansi wenzie na kuziita "hoax".
Mkuu, mimi pia nina imani kubwa sana katika uwezo wa Professor Kabudi. Siku ile alighafilika tu kama mwanadamu na alishindwa kufanya COVERUP njema kama nilivyoshauri hapo juu.
 
Kwani kabudi elimuyake ikoje?na je?Alifaa Kuwa professor
FB_IMG_1608667348628.jpg
 
Hayo unayoyaongea ni maoni yako na mtazamo wako,sio lazima iwe ndiyo kweli yenyewe.
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiJorums.

Ninajua fika baada ya kuandika thread hii kuna watu watanitukana sana, wengine watasema ninajipendekeza kwa wakubwa, wengine watasema ninatafuta uteuzi, wengine watasema mbona ninajishushia hadhi.

Ila ninachosema mimi ni kuwa sipo hapa jukwaani kwa minadi ya kufurahisha watu. Bali nipo hapa kuongelea ukweli kama ambavyo unapaswa kusemwa.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kukanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.

Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas alimnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."

Lakini Prof Kabudi pia alisema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."

Kabudi alisema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."


USHAURI WANGU WAZIRI KABUDI ANGESEMA MANENO HAYA
=====
Nilichokisema ni kweli kuwa Azory Gwanda alikufa. Azory alikufa ndani ya mawazo, akili na mioyo ya wanaharakati ambao kila uchwao walikuwa wakiisumbua serikali kwa kuihoji juu ya taarifa sahihi za mahali alipo na hatua za upelelezi zilizofikiwa na jeshi letu la Polisi.

Sisi kama serikali tunatambua vema mchango wa makundi haya ya watetezi wa haki za binadamu pamoja na asasi za kiraia katika kutukosoa na kutukumbusha juu ya wajibu wetu kwa jamii ya watanzania iliyotupa dhamana ya kuwaongoza.

Kwa niaba ya waziri wa mambo ya ndani, ninapenda kutoa tena salamu za pole kwa familia ya Azory kwa kupotelewa na mpendwa wao na taarifa kamili juu ya tukio hili zitatolewa pindi upelelezi utakapokuwa umekamilika.

Tunaahidi kuwa tutahakikisha kunaendelea kuwa na mazingira bora, salama na rafiki kwa wanataaluma wote wa tasnia hii ya habari kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi na weledi wa hali ya juu.

=====

Ni bora baba yangu mzee Kabudi angesema maneno haya.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Back
Top Bottom