Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Waambie wakiendekeza viherehere kuna siku moja wataolewa mjini hapaHahahahaaaa wanakuwa na vihere here sana aisee teh teh teh
Waambie wakiendekeza viherehere kuna siku moja wataolewa mjini hapaHahahahaaaa wanakuwa na vihere here sana aisee teh teh teh
Kwa sababu kutwa wanashinda vijiweni kucheza pool hawataki kufanya kaziNdio tatizo kubwa la watanzania kujihusisha na yasiyowahusu.
Nilikuwa nawaheshimu sana na kuwaogopa maprofesa. Baada kushuhudia hawa waliopo ktk siasa nimeona kuwa kumbe hakuna haja hiyo.Huenda kama kuna Mtu ambaye anaifanya Hadhi ya Uprofesa Kuanza Kudharaulika nchini Tanzania akawa ni Waziri Kabudi hadi Mchumi Lipumba.
Acha uongo wako wee jamaa aiseeMKIRU ni wilaya mpya ipo mkoa wa Pwani
Naaam hawana mshindaniTBC sasa ni wababe wa habari Tanzania
Saaaana tenaHonestly, anafaa
TVT ya zamani sio kama TBC ya sasa. Sifa ziende kwa JPMTBC kama al jazeera tu HD ya maana
Huyo Magufuli kamwe hawezi kupata mpinzani hapa Afrika. Ipo siku utayakumbuka maneno yangu wewe Mmmarekani.TVT ya zamani sio kama TBC ya sasa. Sifa ziende kwa JPM
TBC labda washindane na CNN lakini sio hawa AzamNaaam hawana mshindani
TBC sasa kama ulaya dada yangu chikuTBC labda washindane na CNN lakini sio hawa Azam
TBC ya Ayubu Ryoba wanajitahidi saaana kwakweliTBC sasa kama ulaya dada yangu chiku
TBC wapo levels za juu saaana aisee. Soon watakuwa kama VOA ya MarekaniTBC labda washindane na CNN lakini sio hawa Azam
Tuanzisheni kampeni ya kuichangia TBCTBC wapo levels za juu saaana aisee. Soon watakuwa kama VOA ya Marekani
Wazo zuri sana hili. Wachangiwe wapate pesa za kuboresha studios zao pamoja na kununua cameras mpya.Tuanzisheni kampeni ya kuichangia TBC
TBC ni mali ya taifa zima hivyo ni lazima sote tuipendeWazo zuri sana hili. Wachangiwe wapate pesa za kuboresha studios zao pamoja na kununua cameras mpya.
Anzisha hata leo mkuu mimi nitatoa 20,000/=Tuanzisheni kampeni ya kuichangia TBC
CHADEMA walichangia kuwatoa jela viongozi wao lakini hawawezi kuchangia ujenzi wa miundombinu ya taifa.Anzisha hata leo mkuu mimi nitatoa 20,000/=
Hivi channel 10 ni mali ya serikali au CCM?TBC ni mali ya taifa zima hivyo ni lazima sote tuipende
Sina uhakika kama CC wanamiliki channel 10Hivi channel 10 ni mali ya serikali au CCM?
chadema hawana hata kituo cha redio wala TV. Wao wanategemea magazeti ya Mbowe ndio yawe ya chama.Sina uhakika kama CC wanamiliki channel 10