psychologist

gugu

Member
Nov 14, 2008
69
12
Nahisi nahitaji counseling kutoka kwa professional psychologist. Nahisi nina mapungufu fulani katika ukuaji wangu. Nimelelewa na my grand parents who are both dead lakini walinipa mapenzi ya kama wazazi. Hwa wazee nilikaa nao toka nimezaliwa na waliweza kunihadithidhia kisa cha wazazi wangu kutokaa na mimi. Baba yangu alikua na familia yake na so was my mother. Nilipofika umri fulani nilikutanishwa na mzazi wangu mmoja nakuishi nae na hiyo familia nyingine. Kwakweli sikua na ubaya niliofanyiwa ila nilikua na tabia ya kujihisi na hii tabia nimekua nayo mpaka leo. Siwezi kuomba kitu chochote hata kama ninashida gani, kila wakati nafikiria kua hao dada zangu na kaka zangu wa kambo ndio wanahitaji zaidi na sio mimi. Hii kitu imenifanya ninakua so insecure hata kazini naona sina confidence, naomba msaada.
 
tatizo lako ni moja: unataka kuubalika kwa watu na unahisi ukiwa "demanding" wata ku-reject. samahani, sijui nitaelezaje kwa kiswahili lakini najua utanielewa tu.
Dawa yake nadhani ni kuongea na mtu wa karibu kuhusu unavo feel, na hasa ukiomba kitu unadhani ni kipi kitatokea? maybe unaogopa mzazi ataku-compare na wenzio, maybe wenzio watakutenga, na hivyo vyote vinaweza kupeleka kwenye rejection. na hao kama familia yako waki kutenga utajikuta peke yako, bila ndugu wengine.
Ni kama watoto waliolelewa peke yao, ukienda kucheza kwao wanakupa toys nyingiiii, wakifikiria wanaweza "kununua pendo" kwa kupitia toy. Ni swala la kuongelea sana na mtu wa karibu na utakapo elewa shida iko wapi uongee na mzazi wako au ndugu zako.
 
inaelekea huna tatizo la kisaikolojia ila unajitengenea tatizo. u ar luck mpaka umekua na unakaz yako ya mana na unajua ku2mia internate na jf unaijua. kuna watu kama wewe pamoja na kuwa na wazazi wote lakin hawajafika popote na istoshe hawajapata upendo wowote! we unakaa mjin afu unadai una matatizo, no. jikubal kwanza afu kawasaidie ndugu zako, ushakua juu kuna wa2 wanaitaj msada wako
 
Just believe in yourself that you can do anything in this world. You should also thank God because you have been able to stand with your own feet (By having a nice job). All in all you don't have any problem!
 
Unapaswa kweli kumwona psychologist maana katika hali yako tatizo ni dogo na ukiwa exposed katika mazingira fulani laweza ongezeka.
 
tatizo lako ni moja: unataka kuubalika kwa watu na unahisi ukiwa "demanding" wata ku-reject. samahani, sijui nitaelezaje kwa kiswahili lakini najua utanielewa tu.
Dawa yake nadhani ni kuongea na mtu wa karibu kuhusu unavo feel, na hasa ukiomba kitu unadhani ni kipi kitatokea? maybe unaogopa mzazi ataku-compare na wenzio, maybe wenzio watakutenga, na hivyo vyote vinaweza kupeleka kwenye rejection. na hao kama familia yako waki kutenga utajikuta peke yako, bila ndugu wengine.
Ni kama watoto waliolelewa peke yao, ukienda kucheza kwao wanakupa toys nyingiiii, wakifikiria wanaweza "kununua pendo" kwa kupitia toy. Ni swala la kuongelea sana na mtu wa karibu na utakapo elewa shida iko wapi uongee na mzazi wako au ndugu zako.

Tatizo ni kwamba sijawahi kukaa na mzazi wangu nakuongea kuhusu hii issue na wala yeye hajawahi kutamka chochote. Naona kama nitamkumbusha mabaya na hasa hisia zangu za kutoweza kuomba msaada wowote nahisi matatizo yao yalianza baada ya mimi kuzaliwa. Nikweli nashukuru hii situation imenifanya nimekua independent na struggler lakini it comes with the price na ni hiki ninachoona. Naogopa kwamba I might destroy even my marriage and my sons life
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom