Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Interesting.

Ngoja na mimi niendelee kusoma vitabu. nilishaanza na teaching of Buddha kina mafundisho mazuri kuhusu "enlightment"
soon nitanunua hicho The power of your subconscious Mind, infact a few months ago kuna rafikiangu tulienda pamoja bookshop akanunua akaniambia ni kizuri


Hey aamahani,Upo Dar ? If yes ,hiyo bookshop inapopatikana hivo vitabu ipo wapi kwa Dar ,maana bookshop nyingi hawana hivyo vitabu .
 
mimi huwa nikimkumbuka mtu namuona pia nikiwaza kitu kinatokea na mara nyingine naota mtu fulani ni mchawi asubuhi niliemuota anakua ananiogopa au kunionea aibu...pia kuna siku nikiwa form two niliwahi kumuona mtu kwenye pembe ya mlango Lakin jion kuna mtu nilimsalim mara mbili hakuikia sasa je kuna uwezekano nilimsalim ndie yeye niliemuona kwenye pembe?
 
mimi huwa nikimkumbuka mtu namuona pia nikiwaza kitu kinatokea na mara nyingine naota mtu fulani ni mchawi asubuhi niliemuota anakua ananiogopa au kunionea aibu...pia kuna siku nikiwa form two niliwahi kumuona mtu kwenye pembe ya mlango Lakin jion kuna mtu nilimsalim mara mbili hakuikia sasa je kuna uwezekano nilimsalim ndie yeye niliemuona kwenye pembe?
hii power inaitwaje
 
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers"

"Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu chochote kinachoonekana kwa macho kumhusu Mungu, bali ni powers zake tuu za mambo Mungu anayoyafanya ndizo zinazoonekana.
Chochote mtu atakachokiona kuhusu Mungu iwe ni kupitia Roho Mtakatifu au kupitia Malaika wake, it's just the manifestation of God's power kwa sababu God is a spirit of power ambazo zinafanya mambo mazuri, doing good.

Shetani pia ni power ya evil spirits inayofanya maovu, yale maumbo yote ya shetani yanayoelezewa kuonekana mara hivi mara vile pia ni just a manistation of that evil powers kujionyesha katika umbo lolote, hivyo shetani anaweza kuji manifest katika umbo lolote na kufanya jambo lolote hata jema kama kuponyesha kimuijiza ili kuwaaminisha watu kuwa ni kazi ya Mungu.

Powers ndio kila kitu. Watu wote wenye nguvu ni powers, spiritual powers kwa watu wa imani, political powers kwa wanasiasa, economical powers kwa matajiri, social powers kwa wenye vipaji mbalimbali. Everything thing is about powers na mafanikio yoyote katika kila kitu ni jinsi watu wanavyo master hizi powers.

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni power ambayo ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo zikiwa zimejificha bila kujijua kuwa wanazo hizo nguvu.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza! kwa sababu uwepo wa nguvu hizi has nothing to do with religion but has everything to do with being.

Na sio binadamu tuu ndio wenye nguvu hizi bali ni viombe wote wana hizi special powers kwa kiwango chao na maisha ya viumbe hawa.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za Shetani" powers of the dark, evil spirits etc.

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!". Hivyo hata usipotumia jina la Mungu au jina la Yesu na ukatumia neno jingine lolote lenye powers vibrations kuzifungulia nguvu hizi zilizo ndani yako, nguvu hizo hufunguka, ndio maana watu wa dini zote hutumia.

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Paskali

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Asante mkuu hii kitu ipo vizur hebu nifuatilie kwa ukaribu mijadala ya wadau humu ntajifunza kitu
 
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
Dah! hii huwa inanitokea mara nyingi tu, hata leo imenitokea.Leo nilienda duka moja nikakuta muuza duka anafanya usafi wa bidhaa zake ,kwa nlivyomuangalia nikamwambia mbona unafanya hivyo? au unataka kuvunja hizo bidhaa ili utumie mwenyewe? Haikupita dakika moja bidhaa yake moja ilidondoka kutoka kwenye shelf mpaka chini bahati nzuri haikuvunjika.....Muuzaji aliniambia nina mdomo mbaya.

Marafiki zangu ambao wanalijua hili labda ndio sababu baadhi yao wamekuwa wakinifuata na kuniomba ushauri niwaambie wafanye biashara gani au wafanye nini kuboresha biashara zao....wachache waliyafanyia kazi mawazo yangu na walifanikiwa. Kitu cha ajabu kwangu nikuwa sikuwa serious sana wakati nawaambia nini cha kufanya lakini baaadae walikuja kunipa feedback kuwa niliyosema walifanyia kazi na matokeo yalikuwa chanya.


  • Telepathy - Transfer of thoughts or emotions.
Nahisi Huu uwezo wa kusafiri kimawazo na kihisia ninao, nakumbuka ulikuwa unanisaidia sana kipindi nipo shule especially kwenye somo la Hisabati nakumbuka nilikuwa nasolve maswali magumu yalionishinda mchana darasani, nikiwa usingizini na nikiamka asubuhi nilikuwa narudia kufanya na kupatia vizuri kabisa.....kwangu mimi ilikuwa nikiamka kesho yake nilikuwa na solve lile swali ambalo ni gumu kama nimeshawahi kulifanya(Kama nafanya marudio).

Tukio lingine nnalo kumbuka kuna siku nikiwa shule ghafla kama picha hivi ikanijia akilini mwangu kuwa kuna jambo limetokea nyumbani....niliporudi nyumbani nikakuta ni kweli lile tukio limetokea exactly kama nilivyowaza.

Kusema ukweli mara nyingine naona ni msaada kwangu especially kwenye maswala ya mahusiano coz mara nyingi nilipokuwa kwenye mahusiano ambayo hayakuwa healthy nilijua mapema sana kuwa siko na mtu sahihi. Nakumbuka one of my ex aliwahi kuniambia kuwa najua vitu vingi mpaka anaogopa, kuna wakati alihisi nimemuwekea watu wamchunguze lakini haikuwa ivo taarifa zote nilizipata naturally even I can't explain it. She thought I was a lie detector coz my intuition says it all.

Tukio jingine nnalo likumbuka la hivi karibuni ni ajali ya gari ambayo nilipata mwaka mpya usiku 2017, nakumbuka wiki mbili kabla ya ajali nilishikwa na huzuni sana nlikuwa sijui kwanini lakini I felt it. Nakumbuka siku moja nikiwa na chat na mpenzi wangu nlimwambia mwezi huu utakuwa mgumu sana kwangu, sikujua kwanini nilisema vile...haikupita wiki nikapata ajali mbaya sana lakini bahati zuri gari tu ndo iliumia, mimi nilikuwa salama. Baada ya ajali ile nakumbuka siku ya 3 nilijihisi mwenye furaha na amani....ile hali ya huzuni ilitoweka ghafla.

NB: Sijawahi kufanya meditation ya aina yeyote ile na haya ni baadhi tu ya matukio ambayo nayakumbuka​
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Njoo Central nakusubiri
 
Kuna mengi ya kufanya lakini nakupa basics kwanza ukifaulu hii hatua ya kwanza nijulishe

Hapo ulipo tafuta Sehemu kimya na utulivu kwa kwenye kiti au jamvi usikunje mgongo weka mikono mapajani kwa kurelax au lala chali kwa kulerax fumba macho halafu anza kuhesabu pumzi

Ili inhale hesabu moja uki exhale mbili endelea na mchakato huo, utaona utakapoanza tu kuhesabu yatakuja mambo kibao utakumbuka mambo ya jana, mipango ya kesho changamoto zako yaani matukio yatakuja kama mkanda wa sinema

Unachotakiwa kufanya ni kustick kwenye pumzi tu, hayo matukio yanayopita ndio takataka zilizojaa kwenye bongo yako


Pia kuna kitu kinaitwa empty meditation: hii unakaa kwakurelax na kuangalia ukuta tu usifikirie chochote zaidi ya kuuangalia huo ukuta, utajikuta huoni ukuta bali unaona mawazoni yako, chanamoto zako mipango yako madeni yako nk nk nk
aya yote ndio takataka zilizojaa kwenye ubongo, Kwahiyo zinacompress mind na kuifanya ishindwe kufanya kazi sawasawa


Unachotakiwa kufanya uwapo kwenye breathing au empty meditation ni kufocus tu kwenye kile ukifanyacho kwa Wakati huo kila kinachojaribu kuja kwenye mind unakifukuza na kurudi kwenye concentration yako ni kazi ngumu mno kutaka kuistation mind kwenye kitu kimoja kwa Wakati mmoja but with serious practice utaona mabadiliko. ...ukiiweza hatua hii ya kwanza nijulishe tuendelee
Nimeshindwa
 
Mimi umenigusa sana kuna nguvu na mimi ninazo hapo,kwa mfano unaweza ukanisimulia story kuhusu watu au mtu fulani siku nyingine kabla haujanitambulisha naweza kukisia majina yao kutokana na story yako na kweli inakua hivyo

Nguvu nyingine ni ile uswahilin inaitwa machale kwa mfano wakati nasoma nilikua naotea sana maswali kabla ya mtihani,vile vile naweza nikaunganisha matukio kwa mfano mtu anapiga misele sister nikimuona tu mtaani nilikua nikimuhis ni kweli au nikikaa karibu na mtu mbaya jiran sehemu kama bar huwa nahis na siku moja nilishawah hama meza kwa kuhis jiran si mtu mzur baadae mwenyej wangu alivyokuja kabla sijamuhadithia akaniambia "unamuona yule dada ukimtongoza ukakaa naye meza moja anakuwekea madawa kwenye bia au anakutengenezea fumaniz fake ili wakupore na masela wake"

Maajabu yule dada ni mzur na amekaa kistaarab na mimi ni mgeni hiyo mitaa hadi mwenyewe nilijiogopa yale machale
Dah vipi maswali ya Necta
 
Back
Top Bottom