Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,356
- 11,502
Unakutana nao wapi? Stop lying and i think you are already under influence of those drugs. Ndo maana unawaona hao CEOs huko Silicon Valley ilhali upo tu somewhere umevuta umekaa. Yaani hapo unawaona marais mnavuta nao. Unamwona Telsa, unamwona Bill Gates n.k 😁kama kweli unataka kutumia hivi vitu bila ya wataalamu (shaman), ni bora ufanye microdosing. Yaani unatumia dozi ndogo sana ( 10% ya ile dozi ya kukufanya utembee) ambayo haikutembezi ila bado inakuwa inatengeneza ile plasticity kwenye ubongo wako taratibu. Watu wengi sana kama ma CEO kule silicon valley wanafanya microdosing kwaajili ya creativity.