rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,531
- 6,617
Kwanza umevuta 'kitu' chenyewe au magumashi?Msaada jamani, wapi nimekosea kwenye kujaribu kutumia canabis .
Kuna kazi nilikua naifanya nikahitaji booster ya mjani , ofcoz shauku hii imetokana na uzi huu
Nimevuta puff mbili, kama MK54 Alivyosuggest lakini sikupata matokeo .hata lile jani sikuhisi chochote wakati nalivuta .
Mazingira yalikua favourable , je nini inaweza kuwa sababu
Kitu hakivutwi kama sigara asee, pandisha mistari.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app