Psychedelic Drugs & Consciousness

Msaada jamani, wapi nimekosea kwenye kujaribu kutumia canabis .
Kuna kazi nilikua naifanya nikahitaji booster ya mjani , ofcoz shauku hii imetokana na uzi huu
Nimevuta puff mbili, kama MK54 Alivyosuggest lakini sikupata matokeo .hata lile jani sikuhisi chochote wakati nalivuta .
Mazingira yalikua favourable , je nini inaweza kuwa sababu
Kwanza umevuta 'kitu' chenyewe au magumashi?
Kitu hakivutwi kama sigara asee, pandisha mistari.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza umevuta 'kitu' chenyewe au magumashi?
Kitu hakivutwi kama sigara asee, pandisha mistari.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Sijui kitu kama ni kitu kweli , maana hata jani lake sijawahi kuliona zaidi ya kweenye vitambaa
Ila nimenunua kwa vijana ambao wanaaminika maana niwatumiaji wazuri.

Kuhusu kuvuta sijavuta kama sigara, nimefuata maelekezo ya humu kuvuta na kutoa moshi mdomoni
Kupandisha mstari ndio kufanyaje?
 
Sijui kitu kama ni kitu kweli , maana hata jani lake sijawahi kuliona zaidi ya kweenye vitambaa
Ila nimenunua kwa vijana ambao wanaaminika maana niwatumiaji wazuri
Kuhusu kuvuta sijavuta kama sigara, nimefuata maelekezo ya humu kuvuta na kutoa moshi mdomoni
Kupandisha mstari ndio kufanyaje?
usifuate maelekezo ya humu, hao waliokuuzia ndo wakuelekeze jinsi ya kupandisha mistari

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sijui kitu kama ni kitu kweli , maana hata jani lake sijawahi kuliona zaidi ya kweenye vitambaa
Ila nimenunua kwa vijana ambao wanaaminika maana niwatumiaji wazuri
Kuhusu kuvuta sijavuta kama sigara, nimefuata maelekezo ya humu kuvuta na kutoa moshi mdomoni
Kupandisha mstari ndio kufanyaje?
Mkuu, roll your joint, halafu puff mbili ni kwamba, ukivuta one puff, unaihale moshi wote kama deep breath, then unaexhale. Unakosea kuvuta na kutoa moshi.

Unajua mpaka unakua elevated means kwamba THC lazima ifike kwenye system.

Ukifanya hivyo, utafeel the first high hata kwa hizo puff ni mbili tu. Lakini kuwa makini, mara nyingi bangi kwa mara ya kwanza unaweza feel kwamba haujawa high bado, unavuta kuliko kawaida, ikakufanya ukawa unachekacheka tu, kwa sababu stimu ya dawa kwa mara ya kwanza itakufungua mambo mengi kutokana na state of mind uliyonayo, kitu kinachopelekea kuwa too high.
 
Mkuu, roll your joint, halafu puff mbili ni kwamba, ukivuta one puff, unaihale moshi wote kama deep breath, then unaexhale. Unakosea kuvuta na kutoa moshi.
Unajua mpaka unakua elevated means kwamba THC lazima ifike kwenye system.
Ukifanya hivyo, utafeel the first high hata kwa hizo puff ni mbili tu. Lakini kuwa makini, mara nyingi bangi kwa mara ya kwanza unaweza feel kwamba haujawa high bado, unavuta kuliko kawaida, ikakufanya ukawa unachekacheka tu, kwa sababu stimu ya dawa kwa mara ya kwanza itakufungua mambo mengi kutokana na state of mind uliyonayo, kitu kinachopelekea kuwa too high.

Nashukuru sana mkuu, kumbe ndio maana nilikua sioni kuwa elevated wala nini.
Nimegundua wapi nilipokua nakosea.
 
Mada yako ni nzuri. Kwanza Tanzania Bangi tu wanaita ni Madawa ya kulevya; so hizo Pyschodelics ndiyo kabisa.

Drug Control and Enforcement Authority (DCEA) imeweka Bangi na hizo drugs mind altering kama Madawa ya Kulevya. I found it to be okay kwasababu watz wengi are still sleeping.

Consciousness yangu ilibadilika baada ya kuvuta Bangi for the first time. Nilianza kuvuta bangi nikiwa mwaka wa tatu kwenye somo la Pharmacology nikiwa nchini Ufaransa kimasomo. Tulishauriwa pia na mwalimu wetu.

Ilinisaidia sana kwenye meditation, spiritual transformation and transcendence. Huwa ninavuta bangi only when I want to reconnect my soul with the universe itself, naweza kukaa 5 years bila ya kuvuta.
-
When I feel losing my faith , I Smoke to regain the transcendence through meditation practice and astral projection, feeling the death itself.
-
I love the experience, brave and creativity in it . However, if you keep smoking too much na mara kwa mara , it has a lot of side effects; so you have to be really desciplined to monitor yourself na ikiwezekana uwe na technical personnel
-
Kama hujawahi kutumia Bangi, never use psychedelics substance; it is very dangerous .
-
Nilipata bahati ya kwenda Amazon to experience Ayahuasca ambayo siku hizi unaweza kuipata kwa Pharmaceuticals.

Wao wanatengeneza na kuwa kama mbege fulani hivi, wanatumia magome ambayo yame contain DMT ( N N Dimethytriptamne) kisha wanachanganya na majani yaliyo contain MAO(Monoamine Oxidase Inhibitor. Hii ni enzymes inayoenda ku digest zile contents za magome na kuifanya brew kuwa absorbed Orally na active.
-
Kwa kweli my first experience chini ya guidance ya mzee mmoja wa huko huko alietambulika kwa jina la Bob siwezi kuielezea.
-
I saw things I cannot explain , but I came to realize that there is more than what we think.
-
Nikapata uwezo mkubwa wa kuelewa mambo and changing my perspective in so many things : Nikaanza kuitazama dunia as it really is , not as I was conditioned to see it.
-
I saw my death ; and realized that there is something bigger than myself ,bigger than I am . I am as I am. I am I am, I was I am .... I will be I am.

I actually died, I became more aware of my existence; it was a radical change of my consciousness behind this world as well as insecurities of the eternity.
-
I came to realize Buddha teachings are more meaningful and closer to truth of existence.

I appreciate Cannabis and Pyschodelics Drugs; and I advise that every human being should have smoked and use these mind altering drugs once in his life time to awaken the sleeping energy.
-
Watu wengi wanakufa bila ya kujua how powerful they are. It is so painful to see that, kuna wakati nilijuta why niliamsha hii sleeping energy, maana nikaanza feel so sorry to others, to animals . I also had to stop eating meat. Huwa i feel so offended kuchinja Mnyama for my food.

It is so painful to awaken the energy of consciousness ; but is is very good to awaken for future endeavors.
-
The Pyschodelic drugs make you realize that the one looking at you through my eyes , and the one looking at me through your eyes is the same one. The same to everything , to animals, trees, chair , tables etc etc

Ni kweli kabisa hizi drugs zinaenda ku awaken human consciousness, it makes someone more aware and fearless which makes it more difficult for the government to control such citizens. And that is the reason they are illegal.
Umeongea kwa hisia sana mkuu.
 
Guideline zangu zipi tena Doctor.

tumekubaliana ni Psychedelic na Consciousness Transcendence.
Asante mkuu kwa mchango wako, kuna kijitabu cha Stealing fire, nilibahatika kusoma kidogo kinaelezea Psychedelic na transcend consciousness, na hapa umeniongezea kwenye kile kidogo nilichokuwa nafahamu.🙏🙏🙏
 
Hata Nyungu sawa kaka.

The Chamber ya Sauna inakupa Maximum temp kwa muda mwingi na ina drain lots of toxic kwa mwili wote.

Ule mvuke sio lazima uutumie. Unaweza ukaenda na content zako za kujifukiza ukatumia hizo badala ya hizo unazozikuta.

Canada mgonjwa mpya wa presha na kisukari, kabla ya kuanza kuandikiwa medications, wanakuwa prescribed kufanya Sauna for at least miezi 3 kwa kila mwezi mara 2;

baada ya vipimo , kama presha na kisukari bado ipo juu, ndio huandikiwa dawa.

So Sauna ni one of the best medication for total rejuvenates
Hakika nimejifunza mengi mnoo!
Duh! Huku bongo ukiwa na sukari 8,9au 10 wnakupatia manjugu ubwie!
 
Asante mkuu kwa mchango wako, kuna kijitabu cha Stealing fire, nilibahatika kusoma kidogo kinaelezea Psychedelic na transcend consciousness, na hapa umeniongezea kwenye kile kidogo nilichokuwa nafahamu.

Pamoja sana na Shukran nyingi pia ziende kwa aliyeanzisha thread.
-
Tumekuwa kimya kidogo baada ya kupata MSIBA mzito kwa kuondokewa na kiongozi wa nchi Ndugu John Pombe for the first time.
May the almighty Lord bless his Soul.
-

Mada pendwa itaendelea zaidi na zaidi. I believe that this thread is a living document.
-
Tuliona pia tuwe na discussion ya Psychedelic Serum Concentration yaani what is the recommended dose to begin with for those who are interested and for what purpose.

How do you know the concentration of THC kwenye mmea wa bangi au mmea wa Psychedelic ili uweze kujua ni Puff ngapi you have to push in if you are to smoke.
-
Kwa Tanzania ni rahisi, kujua concentration ya principal active ya mimea, ukiwa na jani lako unaenda pale MUHIMBILI, you just get control number na kulipia like 20K, wanamashine zote za ku determines concentration, ambapo ukipata majibu itakuwa rahisi to establish the recommended dose. We will discuss about it here.
-
On the other hand ; we are not teaching people kutumia haya mambo and we are totally discouraging watu kutumia bila ya kuwa na MOTIVE.
-
Tumeona madhara ya hard drugs kwa watu wengi, tumeona DMX alivyo overdose , we have seen the consequences.
-
Pamoja kwamba walitumia Antidote ya Naloxone to reverse the action of Heroin , But it was too late. The respiratory system was already touched and depressed...he therefore had to die , a physical death.

Ndio maana tunasisitiza awareness , haya mambo they have serious effect kwenye human personalities if you do not know what to do .
 
IMG_4077.jpg

The critical minds, wameweka their experience baada ya kutumia Psychedelic

Mind altering substances
 
Sawa hizo ni side effects, na it seems like you had no any guidance katika kuutumia mmea. Kama hauna guidance ,Be careful na ;

1. Frequency ya kuvuta
2. Smoke concentration( Volume unayo inject Kwenye mwili).

Kwa mfano, msokoto wa Bangi kwa mtu anaetumia kwa mara ya kwanza hatakiwi kuzidisha Puff 2 , na hautakiwi kuutolea moshi kwenye pua, na unatakiwa ku hold your breathe in like SSSS for a while kisha unautolea moshi kwenye mdomo, you will find out that your mind is shifting from one state to another ; the new state is one of the precious moment , it’s called The NOW, don’t waste it. during that time your focus ni kwenye ishu iliyokufanya uvute.

Kama ukifanya zoezi hilo vyema , then 2 Puff is a maximum dose for you per Six months or so. Je ulikuwa na descipline hiyo ?

One Perfect puff , You will have one of the best experience like you have never seen before. The total Transcendence And this is what we mean when we say you need a guidance.

Kama ulishawahi kutumia mmea before , you can take 2 to 4 puffs/ year or so. Na wakati unafanya hayo ni lazima uwe kwenye mazingira ya kile ulichokusudia.
/
Creativity? writings ? Learning? Innovation ? Astral projection ? Science ? Transcendence ? Death mediation? Looking at the moon and sky ? Making hard decision ? Sex meditating with your partner? Having multiple orgasms at once ? Or meditation and contemplation yaaani just unakaa at your home inapendeza late night hakuna kelele no music just you sit on your floor in your room. You stay silent, na hauwazi chochote Yaani just like a new born, you try to remember who you truly are , you try to see yourself SELF.

You will experience a lot of staff. You gonna be a great man, wisdom , truth, the virtual of silence. You will realize that silence is really loud; everything is there depend on you listen.

Kupitia maelezo yako ni kwamba haukuwa na guidance, haukuwahi ku determine your perfect dose, seems like kila ulipokuwa unajisikia kuvuta Unavuta, yaani frequency yako ilikuwa haina mipaka; and that is why you had some side effects like panic attack, tachycardia( mapigo ya moyo kwenda mbio sometimes), uoga usioelezeka ambao mara nyingi unakuwa associated na panic attack.

The good thing is Cannabis has no addiction or dependency issue. Kama ungekuwa unatumia Cocaine , my friend , usingekuwa na jeuri ya kusema NIKAAMUA KUACHA. na hii ndio faida ya mmea, no over dose, no addiction nor dependency. Even if you abuse it.

You are very lucky man . I am proud of you .

Pia umezungumzia kuhusu suspicions, kwa Kiswahili sijui ndio machale. My friend , that is not a side effect. That is what we call divine intuition. Itakusaidia sana hiyo, please iendeleze. Inakupa wepesi wa kuiona hatari mbele ya dunia yako. Inakupa understandings beyond doubts. Kwa Mfano, unaweza ukastuka usingizini Usiku, ukahisi kama hukufunga mlango, au kuna mazingira ambayo siyo ya kawaida, then go to Verify. Unaweza ukahisi kama unachunguzwa, please Verify , unaweza kuhisi anything like anything...please Verify. Mimi huwa nikingia kwanza naingia kwa machale, pili , nikifika ndani nitaenda chooni kuchungulia, Masterbed room , sometimes nina inama hadi chini ya uvungu to check is everything really okay , .... you know that kind of suspicious. Nikiwa nimesafiri Hotelini, ndio kabisa , kabla sijafanya lolote nitapekua hicho chumba every where, nitatoa mashuka yote To verify everything, chini ya uvungu, balcon etc etc na wakati mwingine na test mitambo , hapa ikitokea balaa natoka vipi kwenye hili gorofa.

That is how senior intelligence wanakuwa trained .you must Be very sustainable

The Cannabis teaches you how to be attentive. Sidhan kama kuna Mwanajeshi ambae hatumii mmea. This is the essence ; to create intuitive and suspicious mind. Ni very important skills kwenye hii dunia.

Ukiendeleza hiyo yaani utaweza kusoma akili ya mtu kabla hajaamua . Utaweza kusoma mazingira rafiki na yasiyokuwa rafiki. Nilifika hotel moja wakati nimeenda SA, nilibadili vyumba 2 ndani ya nusu saa. I was not comfortable na mazingira ya chumba.

Any senior intelligence officer must have that skill.

My prescription kuhusu tatizo lako :

1. Usitumie tena mmea for atleast 3 years or so , never touch
-
2. Uende Sauna for detoxification. Hii utakuwa unafanya mara 3 kwa miezi 3 . If you can manage unaweza kufanya mara 2 kwa mwezi mmoja. But kila mwezi ufanye atleast once. Unatakiwa Kufanya hivi six months consecutive Na utaendelea baadae as per your need.
3. Kama unatumia pombe , uache au reduce consumption. Usipendelee sana any drinks au dawa yenye Caffeine. Kwa Mfano Paracetamol + Diclofenac+ Caffeine hii ni dawa ya maumivu ndani yake Ina caffeine. Usitumie. Uwe unasoma ingrédients za dawa kabla ya kutumia.

4. Pendelea kunywa lemon ( natural ) tea , and sometimes fresh milk.

5. Juice ya tembele, au Mchicha au Coriander leaves. Here I mean unasafisha hayo majani kisha unasaga kwa kutumia blender kisha unachuja ile Juice yake ndio unakunywa at least once a week . Nusu glass au kikombe kizima kidogo kile kama cha kahawa. . I prefer juice ya Coriander, au Spinach au mchicha.

.attention na tembele, zina iron nyingi sana hivyo inaweza ku increase level of hemoglobin ( Hb) Kisha damu ikaongezeka sana ukanza kuhisi shida.

6. Jogging every weekend,

7 pendelea sana salade .na matunda kama Apple, grapes.
8. Learn how to relax. Kuna majani pia nimeyasahau hutumiwa sana na wahindi. Huuzwa pale soko la kisutu pale Posta watu huweka vitu nje na n

Itakubidi hiyo prescription uifuatishe for 6 Months bila kuacha , kutakuwa na improvement kubwa sana. Tatizo litaondoka slow but sure . You don’t need Pharmaceuticals medications. Panic unawezaa ukawa unaipata mara chache chache but itapotea kabisa.

Pia mapigo ya moyo ulikuwa unayapata kwa Sababu inaonekana ulikuwa unatumia mmea hali ya kuwa una uoga mwingi,yaani unaogopa na wsiwasi.

due to lack of guidance, kuna namna ambavyo your CNS ili react mara ya kwanza ulipovuta....... but it’s okay , you gonna be fine just learn how to relax . Don’t take any Canabis , observe prescription above

Otherwise, hizo ni side effect za kawaida hasa kwa wale wanaovuta bila ushauri wa kitaalamu. But slowly zitaondoka, usiendelee kutumia tena for atleast 3 to 5 years.

Kama kuna medication ulizopewa Hosp, kwa matatizo mengine ukiwa unaumwa, you can DM me , kuona kama kuna dawa yoyote ulishawahi kutumia ikaleta hiyo side effects ya tachycardia.

Always learn how to seek for guidance, remember that

You nailed it...salute mkuu.
 
Roger that, I agree with you. Ukisoma vyema post zangu utaona nimesisitiza sana under guidance.

Hata Mimi I spent 4 weeks and half in Amazon kuwa trained to understand the ultimate divine nature of these psychedelic plants.

Leo hii, mmea common Tu kama Bangi, ni dawa ya magonjwa mengi sana na hutumika sana katika spiritual transcendence beyond all odds, lakini je wangapi wanajua namna ya kutumia bangi, na je unajua unapaswa kutumia kitu gani baada ya ku Smoke Bangi ili kusafisha moshi and after effect.

Hii ndio shida ya vijana wetu wanafanya vitu bila maarifa. Nikikwambia 90% ya politicians Hapo TZ na nchi nyingine wanatumia mmea na mimea Hii , can you believe that.
Bahati mbaya hapa ni social media.

Mmasai anakula nyama everyday, but husikii ana kidney failure, blood pressure etc etc? Lakini ukirudi kwa wachaga wenzangu wengi ni ma pressure, kidney, matatizo ya miguu, hii ni kwa sababu wanapenda kula
Nyama but hawajui kuipika nyama kutoa toxic zote kwanza.

Wamasai wanapenda nyama na wanajua kuitengeneza ili kutoa sumu zote na odds.

Kila kitu ni guidance kaka. Haya mambo hayajawekwa kwa bahati mbaya .
Wewe muongo na nadhani unaandika ukiwa umevuta bhangi. Kuwa asilimia 90 ya wanasiasa wanavuta bhangi weka uthibitisho.

Lakini pia inawezekana ikawa ni kweli kwa aina ya wanasiasa tulio nao hawajielewi ,waongo waongo, wanafiki basi hapo nakubaliana nawe bhangi si au madawa ya kulevya si mazuri. Hivyo ikiidhihirika ni kweli wapigwe marufuku kutumia kabisa.
 
Back
Top Bottom