kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Ni jambo lakushangaza sana eti faili la mstaafu baada ya kukokotolewa mafao yake linachukua wiki mbili tatu au mwezi kulipwa.
Rais wa wanyonge angalia hili jipu. Faili halina matatizo, kulipa imekua shida tena.
Wanadai hupitia ngazi tatu kama hela ni chini ya milioni 50 na ikiwa zaidi ya hapo, hupitia ngazi tano ili mpaka mstaafu aje kulipwa.
Kwani hizi ngazi ziko mbinguni? Kuidhinisha tuu ili liende kwa wahasibu kulipwa, ngazi zote hizo. Mbona ngazi ni nyingi zinazileta ucheleweshaji wakulipa bila sababu za msingi.
Mh. Mkurugenzi Mkuu, tuna omba hizi ngazi zipunguzwe na malipo yafanyike kwa haraka baada ya ukokotoaji kufanyi.
Kama faili limefikia hatua ya ukokotoaji na halina shida, liende haraka na kulipwa mteja.
PSSSF, ONDOWENI: RASIMU USIO NA MAANA LINAPO KUJA SWALA LAKULIPA WASTAAFU. WANAMAJUKUMU NAO TAFADHALI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa wanyonge angalia hili jipu. Faili halina matatizo, kulipa imekua shida tena.
Wanadai hupitia ngazi tatu kama hela ni chini ya milioni 50 na ikiwa zaidi ya hapo, hupitia ngazi tano ili mpaka mstaafu aje kulipwa.
Kwani hizi ngazi ziko mbinguni? Kuidhinisha tuu ili liende kwa wahasibu kulipwa, ngazi zote hizo. Mbona ngazi ni nyingi zinazileta ucheleweshaji wakulipa bila sababu za msingi.
Mh. Mkurugenzi Mkuu, tuna omba hizi ngazi zipunguzwe na malipo yafanyike kwa haraka baada ya ukokotoaji kufanyi.
Kama faili limefikia hatua ya ukokotoaji na halina shida, liende haraka na kulipwa mteja.
PSSSF, ONDOWENI: RASIMU USIO NA MAANA LINAPO KUJA SWALA LAKULIPA WASTAAFU. WANAMAJUKUMU NAO TAFADHALI.
Sent using Jamii Forums mobile app