mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika inashangaza sana Mfuko wa Hifadhi ya Jamii PSSSF kutokutoa elimu kwa Umma juu ya shughuli zake.Mfuko huu ni Mpya mara baada ya kuunganisha Mifuko iliyokuwepo.
Nilitarajia Uongozi wa PSSSF kupitia Afisa Habari wake angekuwa anatoa elimu kwa umma kupitia Vituo mbalimbali vya Televisheni na Redio kwani Umma ungependa kufahamisha mambo mengi yahusuyo Mfuko huu.
Pia umma ungeweza kuuliza maswali mengi juu ya utendaji wa PSSSF.
Nilitarajia Uongozi wa PSSSF kupitia Afisa Habari wake angekuwa anatoa elimu kwa umma kupitia Vituo mbalimbali vya Televisheni na Redio kwani Umma ungependa kufahamisha mambo mengi yahusuyo Mfuko huu.
Pia umma ungeweza kuuliza maswali mengi juu ya utendaji wa PSSSF.