onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,342
- 1,300
Jana kamati ya bunge imeitaka Psssf kujitathimini endapo Ina uwezo wa kulipa mafao ya wastasafu kwa wakati. Kuna uzembe Psssf kulipa mafao kwa wakati.
Wale waliokuwa kwa kanuni ya kikokotoo Cha 25% baadhi yao hawajalipwa mapunjo. Hotuba ya rais Magufuli 28/12/2018 alifuta kikokotoo hicho na kuagiza wastasfu wale walipwe mapunjo yao. Hadi Sasa bado wapo wastasfu wengi hawajalipwa mapunjo yao.
Ni muda Sasa waziri husika kufanya ziara kwenye ofisi za mfuko ili kujiridhisha na utendaji kazi katika mfuko mbali ya kutoa tu maagizo bila kufuatilia.
Tatizo Ni wastasfu kutokuwa na wafuatiliaji wanawawakilisha. Hivi Sasa ili update hela kwa wakati inabidi ufunge safari Hadi Dodoma kufuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale waliokuwa kwa kanuni ya kikokotoo Cha 25% baadhi yao hawajalipwa mapunjo. Hotuba ya rais Magufuli 28/12/2018 alifuta kikokotoo hicho na kuagiza wastasfu wale walipwe mapunjo yao. Hadi Sasa bado wapo wastasfu wengi hawajalipwa mapunjo yao.
Ni muda Sasa waziri husika kufanya ziara kwenye ofisi za mfuko ili kujiridhisha na utendaji kazi katika mfuko mbali ya kutoa tu maagizo bila kufuatilia.
Tatizo Ni wastasfu kutokuwa na wafuatiliaji wanawawakilisha. Hivi Sasa ili update hela kwa wakati inabidi ufunge safari Hadi Dodoma kufuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app