PSRS: Majibu ya Maswali na Hoja za wadau, Desemba 2014/Januari 2015

Status
Not open for further replies.
Ivi niki apply kazi kisha nikafanikiwa kuitwa na nikaingia mpaka oral test, je nina ruhusiwa kuomba tena kazi endapo majina ya oral niliyofanya hayajatoka??.

Swali la pili, je ni marks ngapi natakiwa kupata ili kuweza kufaulu katika oral test?

Na je kama niko kwenye database kutokana na ufinyu wa nafac nitakaa humo kwa muda gani kabla ya ku expire? Na swali la mwisho je mna utaratibu wa kuweka watu kwenye blacklist endapo washapata ajira tayari??
 
Me nlifanya interview ya afisa tarafa ila jana mmetoa majibu ya kwetu hayapo
Nlitaka kujua mtatoa lini majina ya walio pata kazi Kwa kada ya afisa tarafa?
 
habari kwenu..
samahan sana mimi naomba niulize swali kwa watu wanahusika na ajira...
hivi ni kwann majina mnayoyatoa kwenye usaili wa mwanzo ni tofauti na majina ya usaili wa pili...?
 
habari kwenu..
naomba kuuliza swali kwa watu wanaohusika na ajira.
Hivi kwann watu mnaowaita kwenye usail wa mwanzo nitofuti ya watu mnaowaita kwenye usaili wa pili?
na namba mnazotoa kipndi cha usaili ni tofauti na namba zinazotoka kwenye majibu ya usaili wa pili?
 
Hivi hizi taarifa zilizotolewa na kamati ya bunge ya mashirika ya umma kuwa mmefilisika ni ya kweli? Kama ni kweli, mwanachama anatakiwa kufuata utaratibu gani wa kujitoa?
 
Nawezaje kujua nitapata kiasi gani kwa mwanachama niliyechangia kwa miaka 31? Niombe kanuni ya kukokotoa mafao ya mkupuo na pension
 
Maswala ya ajira yamekua balaaa umefaulu shule sasa subiri interviewwwww ila kila la kheri sisi tumesha achia ngazi
 
Nawapongeza kwa kazi nzuri mnayoendelea nayo.

Nauliza: Nimeajiliwa serikali kuu kabla hiki chombo hakijaundwa,je naweza kuomba ajira kwenye ofisi nyingine ya serikali na mkaniita kwenye interview?
 
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, inapenda kuwashukuru wadau na wananchi wote waliotuandikia maoni pamoja na kuuliza maswali mbalimbali kwa kipindi chote cha mwezi Juni, Julai na Agosti, 2015.

Tunapenda kuwajulisha wale wote waliotuandikia maoni na maswali na hawajafungua baruapepe (Emails) na kurasa za Facebook wazifungue kwa kuwa kila swali limejibiwa na kutumwa katika anwani husika na baadae kuyaunganisha maswali na maoni yanayofanana na kuyatolea majibu ya jumla kwa faida ya wasomaji wetu wengine ili kuendelea kuelimishana kuhusu masuala ya uendeshaji wa mchakato wa ajira Serikalini.


Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

24 Agosti, 2015.

Kwa mawasiliano zaidi +255687 624975, facebook page 'Sekretarietiajira', Barua pepe: gcu@ajira.go.tz au kupitia portal ya ajira sehemu iliyoandikwa feedback.
ok thanks yo you man
 
Status
Not open for further replies.
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom